Mume wa mtu ananitesa

Mume wa mtu ananitesa

Wewe ni mwanamke mpumbavu, namuonea huruma mumeo Kuwait na mke wa aina yako. Na watoto wako kwakuwa na mama wa aina hii (nisamehe kwa kusema hivyo). Bado huna hofu ya MUNGU
TUBU na acha kabisaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo PC sio kwamba ni full pc, ni nusu na wala hazioneshi sura,
Inamaana mm ni mjinga kiasi gani nijiachie hivyo,

Jaman nitukaneni mnushutumu, lakin mapenzi yanatesa na nampenda SNA yule jamaa wa Muheza nahisi anaweza nikuna vzr na dudu lake kubwa, Mr HANITOSHEREZI over

Mnitukane lakin vaen kiatu changu

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwana weeh wasikutishe,kama umefall we banjuka naye tu,kwani shing ngapi?wengi humu ndani wana machafu yao hadi shetan awaogopa.
Binafc natoka na mume wa mtu mwaka wa 5 sasa.Yuko vizuri,kiuchumi,kitandani,kupeana bata na mitoko kama yote.And soon namzalia kidume.raha jipe mwenyewe,usiwasikilize wataalamu feki wa mapenzi walojaa MMU,cause most of them are single and lonely,that's y wanashinda na kukesha jf ,wamegeuka kina mama na baba ushauri.hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo jamaa yako wa Muheza ni mstaarabu manake hapendi kukuharibia Ndoa yako akili kichwani mwako, we jifanye kumpenda Mume wa Mwanamke mwenzio utakosa vyote.
 
Ila wanawake jamani unaweza ua aiseee sasa mumeo
1.anakupenda
2.anakujari
3.unasema kiujumla mnaishi vizuri hakuna migogoro sasa kinachokufanya uendelee kumtamani huyo jamaa ninini lakini hivi baadhi ya wanawake mna akili gan lakini ndio maana wengine wanasema hawaoi hivi hvi wataendelea kuwatafuna hivohivo maana akili zenu hazina akili


Sent using Jamii Forums mobile app
Keshasema hamtoshelezi kitandani na hana du.du kubwa kama la jamaa,hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwana weeh wasikutishe,kama umefall we banjuka naye tu,kwani shing ngapi?wengi humu ndani wana machafu yao hadi shetan awaogopa.
Binafc natoka na mume wa mtu mwaka wa 5 sasa.Yuko vizuri,kiuchumi,kitandani,kupeana bata na mitoko kama yote.And soon namzalia kidume.raha jipe mwenyewe,usiwasikilize wataalamu feki wa mapenzi walojaa MMU,cause most of them are single and lonely,that's y wanashinda na kukesha jf ,wamegeuka kina mama na baba ushauri.hahahah

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wa mtu aliyeshindwa katika mahusiano. Hiki kichaka kimejaa watu wenye msongo wa mawazo sana, hasa katika mahusiano na uchumi.
 
Novela E Njoo nikupe dawa ya kukuondoa uoga wa kuchepuka angalo umuonjeshe mara moja tu, baada ya hapo yeye ndiye atakuwa anakutafuta.

kutoka: 22D Arnold st.
 
Habari za weekend wakuu
Nimekuja kwenu na I'd mpya maana naona mpaka aibu, kueleza na isitoshe nipo humu ndani Nina marafik najuana nao na mashemeji zangu pia wapo na tunajuana I'd.

Miaka 7 iliyopita nilikutana na kaka mmoja muheza tanga alikua kikazi namm nilikua nipo pale kikazi tulikua marafiki SNA, nikajikuta nampenda SNA ila yy alikua na mahusiano yke.

Basi siku moja uzalendo ukanishinda nikamwambia M, nakupenda SNA akasema hata yeye anahisia na mm ila anamchumbaake anamsomesha so hawez kumuacha. Basi niliumia lakin nilimuelewa tukabak kuwa marafik

Baada ya mwaka nikapata mchumba nikaolewa, nikabahatika kupata watoto wawili na mume wangu ambae naishi nae mpaka sasa kwa kweli Mr, ananipenda na wote tunahofu ya Mungu Hathaway kuumizana kwa namna yoyote miaka yote mitano tuliiishi wote.

Jamaa yangu yule wa muheza nayy mwaka juzi akaoa, lakin ndoa yao haina Aman wanagombana kila Siku mwaka Jana waligombana M, akanitafuta kuwa wife anamsumbua na wametengena Basi tukajikuta tumefall in love tunatumiana PC mpaka za uchi nikajikuta nampenda SNA kuliko hata mume wangu, na hapo hatujawah kusex hata Siku moja.

Mwaka Jana wakapatanishwa na wife wake, akaniambia nikamwambia sawa, coz hata mm pia Nina mume so sio big inshu akanuambia unajua nn V, tulia kwenye ndoa yko Mungu amekupa mume mzuri na mnaishi kwa aman acha mm nipambane na hali yangu, nilikupoteza kwa ujinga wangu ingawa bado nakupenda lakin mumeo akija kuona chat zetu atakuua.

Niliumia nikamwambia okey lakin umeniteka akili yangu naumia SNA juu yako, nataman tukutane hata Siku moja tupeane raha alafu tuachane akasema sawa, ila mawasiliano na mm kapunguza anaogopa mm make wa MTU na mm nimeshadata kwake nifanyaje jaman.

Cjawah kuchepuka hata Siku moja namuogopa Mungu, namuogopa mume wangu akijua itakuaje ananiamini SNA.

Yule jamaaangu wa muheza nampenda SNA tena SNA nayy Ananipenda lakin naogopa kuchepuka.

Naombeni ushauri



Sent using Jamii Forums mobile app
We pigwa p.u.m.b.tu mengine achana nao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nikushauri kama watoto wa mjini..........
We live only once, and love is a feeling, it needs true chemistry to enjoy the intense passion like the one we see in movies, it is up to you to decide, sin does not exist when you follow your heart desire, sin is myth!
 
Sawa baba ushauri
Ungekuwa vizuri kwenye mahusiano usingekuwa unashinda na kukesha jf.SAA ngapi unampetipeti mwandani,if at all unaye?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kushinda na kukesha, hadi umejua nashinda na kukesha JF, basi una kazi sista. Ila kwa vile umeshasema kuwa una-date mume wa mwanamke mwenzako na unakaribia kuwa mama, means unapitia changamoto niliyotaja hapo juu(matatizo ya kimahusiano), wanaipitia wengi, huenda hata mimi nikaipitia siku moja. I'm human after all, lazima nipitie changamoto, ila kwa huo ushauri umemdanganya mleta mada, ataingia chaka...
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Back
Top Bottom