Mume wa Mtu ananitaka

Mume wa Mtu ananitaka

Sijui atakuwa Teamo
Asprin
Kaizer
au Kimey + Roya Roy :hungry:

Huyu mwanaume loh
 
Da Sophy is back na ushauri kabambe! hehehe

kaizer habari ndo hiyo

Kumbe mlinimisi jamani. Hata mie nimewamisi sana tu, sema kuna kitu kimeniweka ndani muda sasa kichefuchefu kimepungua ndio nimeweza fika internet
 
Well asanteni wote kwa ushauri wenu. nimefurahi angalau jioni yangu inamalizika kwa amani. I love you so much JF and all its members. Pheeeuuuxx

Nyani Ngabu kanikomalia kweli kweli kisa niligawa namba ya simu maskini mie. this got me thinking wat is it with namba za simu??

Kidonge aina ya Aspirin I hope hukuzirai maana i took you by suprise huh!!! So is Teamo na Kaizer

Nyamayao, Da sophy, Rose, Kaityline, Gaijin na wengine mmetoa mawazo mengi. I just love you guys...........
 
Nyani Ngabu kanikomalia kweli kweli kisa niligawa namba ya simu maskini mie. this got me thinking wat is it with namba za simu??

Naona kuna watu wanachukulia serious kwelikweli mambo tunayoandika humu kwa majina bandia. Eniwei, ndio maisha hayo.

Don't take to heart anything I said. After all, I can't make out whether it was fictional or not. So I hope you are not mad at me like how "some people" are. Some of us are just here to pass time. Yes, sometimes our language may be harsh but none of it is personal.

You be good and have a good one.
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

Kula naye uroda tu, kwani kitu gani!!
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

Duh... JS!!!

Mara nyingi sana mambo mengi huwa ni ya kujitakia; sometimes unakuta mtu anaflirt mpaka tena inalead to something else.. Inawezekana kabisa unampa huyo jamaa signs zote za kukubali, au hata kuonyesha baadhi ya behaviours za watu wanotamani kitu in a "nataka staki" style. My advice to you:

  1. Call the person and tell him exactly what you expect from him
  2. Try to minimise contacts zake au na kugawa namba kwa watu namna hiyo mnaokutana kitaa kama unaweze

to start, dont receive his calls for one week and see how things work out

Angalizo:
Haya mambo ni very straight forward mazee
 
Angalizo! Ukimpa tu Hataacha na utakuwa kama Mtumwa Kwake na Mbaya Jamaa yako akikutosa maana imekula kwako! Kwa hiyo Mheshimu uliye naye
 
Kuwa muwazi na hizi zama c za kutukana ni kumuelezea mtu ukweli tu basi!!
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

Kwanza you are absolutely stupid ulimpa simu yako ili iwe nini? Badili number mchezo umekwisha.
 
:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?

...ha ha ha, umedata ki kwelikweli!
 
i think your 'upstairs' is not functioning properly. unampa mume wa mtu namba yako ya simu and then unashangaa anapokusumbua? huo ndio mshahara wa ufuska. wewe una kitu gani spesho kuliko mkewe? hivi bado hamkomi kuiba waume za watu? kama anakusumbua na humtaki si umwambie kuwa hutaki tena mawasiliano nae, maana wewe mwenyewe uliharibu toka mwanzo. always keep this in mind 'MUME/MKE WA MTU NI SUMU KALI SANA'. usije poteza maisha bure.
 
mmh mi sion km kuna pbm kugawa namba
may b hakujua km matongozo yatafuatia due to convrstn thy had so akajua labda ni maongezi ya kawaida tu yatafuatiwa
+i dunia si ya kujitenga kujichanganya kupata new ideas ,experiense toka kwa mtu yeyote jinsia yeyote umri wowote na status yoyote ni vzr cz vina faida kubwa sana vitu ivyo
TATIZO NI PALE ULIYEMPA NAMBA AKAFANYA KINYUME CHA MATARAJIO ambapo dawa yake ni kutopokea simu kutojibu msg na kuweleza mwandani a to z ili akiona namba iyo unaignore kupokea kila ikilia ili asiwe na wasi wasi then uyo JAMAA ATAACHA MWENYEWE

thax
 
Hivi mnaosema kuwa alikosea kumpa mume wa mtu namba za simu, mnatutakia nini siye tuliooa? mnataka tuwe na namba za wake zetu tu ama nini

Naomba mwongozo tafadhali
 
Fanya jambo moja la busara...ebu iweke wazi hiyo namba ya huyo mume wa mtu kama kweli sms+calls zake zinakukera. Na usipoweka tutajua unampenda ila unatuzuga tu ....
 
Back
Top Bottom