Mume wa Mtu ananitaka

Mume wa Mtu ananitaka

Kama kweli huna hisia naye basi usimpe, akichoka ataacha mwenyewe. Lakini kama ana bidii naamini uwezekano wa kuja kupata upo. Atakuganda kila siku hadi kuna siku utalegeza msimamo (nahisi hiki ndicho unachoogopa ndio maana unaomba ushauri). Ukijijua uko hivyo (kwamba ukichoka kubana mwishowe utaachia), basi usiwe unawapa watu access za kihivyo kama kuwapa namba za simu etc. Kama una uhakika una uwezo wa kuendelea kubana nonstop basi endelea hivyo.
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.

ishu ndipo inapoanzia...huyu amehitaji msaada kivingine....kwa kibongo bongo mkibadilishana no na jinsia tofauti mara nyingi utegemee mawacliano/maongezi ya aina yoyote kutoka kwa huyo mtu na mojawapo ni kama hilo.
 
Alaaaa yeye JS alikuwa anategemea nini alipompa jamaa namba yake? Kwamba jamaa ataenda kuitundika ukutani hiyo namba kama pambo? Mademu bana...mtu unampa namba yako halafu akikupigia unalalamika...what the ***?
Hapo sasa............
 
Mie sioni unbaya wa kumpa mtu namba ya simu, kwani kama sitaki uhusiano naye sinaacha kupokea tu. Kuna mazingira mengine mtu anakuomba namba ya simu kumnyima pia unaonekanaje sijui, basi nitakupa lakini sio kwamba eti nikikupa namba ya simu ndio umenipata. Wanaume wao wanafikiri ukimpa namba yako basi uko available, mnajidanganya.

JS mwache apige wee mpaka atakaa tamaa. text msg zake usijibu.
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.

Wewe ndio ulidhani its only a phone number lakini kwake it meant a lot! si wewe tu unaweza hitaji msaada siku moja , hata yeye anaweza hitaji msaada kwako na ndio maana anakupigia maana anahitaji msaada, kwa kuwa unaelewa hilo la kusaidiana we msaidie tu, kumbuka " kumnyima mtu kitu wakati unacho ni sambi, we si umpe tu na kama ni sambi si sake!
 
Mie sioni unbaya wa kumpa mtu namba ya simu, kwani kama sitaki uhusiano naye sinaacha kupokea tu. Kuna mazingira mengine mtu anakuomba namba ya simu kumnyima pia unaonekanaje sijui, basi nitakupa lakini sio kwamba eti nikikupa namba ya simu ndio umenipata. Wanaume wao wanafikiri ukimpa namba yako basi uko available, mnajidanganya.

JS mwache apige wee mpaka atakaa tamaa. text msg zake usijibu.


sasa kwanini ujisumbue hivyo? kuacha kupokea kwasababu gani na uliamua mwenyewe kumpa? cjui kwa wengine kwangu mie ama cjickii/naona hufai kuwa na no yangu nakuambia tu ukweli.
 
hivi nyie kina dada/mama mnadhani tukishaoa ndio tunakuwa vipofu na hisia zetu za mapenzi zinakwisha kabsaaa zinabakia kwa wake zetu tuu?...

big noooo...hata nyie mkiolewa bado hisia za mapenzi juu ya hao wengine zinakuwapo sana na sio kwa mmeo tuu...sasa basi naomba ieleweke hivi...

ukiwa approached na mtu aliyeoa/olewa muelewe kama ambavyo uli-approach-iwa na mme/mkeo na ikiwezekana muwekeane mipaka ili mpeane kwa nafasi...

ushauri...mpe mwenzio hilo goma ahangaike nalooooo...ila u-siri ni kitu muhimu sana katika mahusiano ya kuibia kama hayo.
:a s 20:
 
inawezekana huyo mpenzi wa JS,ndio hana future naye...
mpaka kufikia kutoa namba yake,ni kwamba dada JS hafeel secured kwenye r'ship yake,,,
sie wanawake tunayo sana hio...kama mtu hana muelekeo unakaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje...!:target:
Correction hapo kwenye red sema wewe. usiusemee moyo ati.
 
nahisi yuko likizo,mpaka arudi...nyumba za watu nyingi zitakuwa zimebomolewa..:rolleyez:.!

wapiiii da sophy???LOL


na anayeendessha hilo tinga tinga ni wewe namba moja eeh...mi nyumba yangu naamini imejengwa juu ya mwamba ijapokuwa sijisifu yasije kuwa ya wifi yake Mrs wangu Nyamayao...
 
Wewe ndio ulidhani its only a phone number lakini kwake it meant a lot! si wewe tu unaweza hitaji msaada siku moja , hata yeye anaweza hitaji msaada kwako na ndio maana anakupigia maana anahitaji msaada, kwa kuwa unaelewa hilo la kusaidiana we msaidie tu, kumbuka " kumnyima mtu kitu wakati unacho ni sambi, we si umpe tu na kama ni sambi si sake!

mambo mengine jamani, sasa cjui mtu utawapa wangapi.
 
na anayeendessha hilo tinga tinga ni wewe namba moja eeh...mi nyumba yangu naamini imejengwa juu ya mwamba ijapokuwa sijisifu yasije kuwa ya wifi yake Mrs wangu Nyamayao...

watu mnaogopa kuzirai eehh...lol
 
Binamu mambo mzima


mambo yangu yalikuwa shwari Binamu hadi ulipoamua kumharibiua hommie wang sipirini hivi hivi....mambo ya PM si tulisema yabaki huko huko lakini?
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

Mpaka kutuletea hiyo issue hapa JF ina maana jamaa kakuingia kwenye kuta za moyo, unazuga tu! Muonjeshe yaishe....kwani wangapi washaonja? Naimani ni wengi na kila mtu kala kona........hivyo hata huyu ukimuonjesha mwisho wa siku atakula kona....!
 
JS usijaribu tena maishani kumpa mwanamme namba kwa misingi ya ati hata abuse sijui kitu gani.

ukimpa mtu namba maana yake ni piga ueleze shida yako...........ukimpa mtu namba means i will love to talk to you again and if we can come to an agreement we can even meet.

kaizer huyu tatizo hawezi kulitatua zaidi ya kulikimbia tu sasa..............akiendelea kupokea simu zake na kumwambia hataki msg inayojipeleka automatic ni 'i am playing hard to get' tu

mi hili nilikuwa mbado...so unamaanisha JS ana play hard afu hapa anatuzuga eeh? HOMMIE......
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.

Sasa si ndo anataka umsaidie ili apate raha ya penzi lako, kumbe unalijua hilo
 
Jamani wadau naombeni msaada kuna mume wa mtu kaniganda kweli kweli. Tulikutana mtaani kwenye starehe hizi tukawa tunapiga stori na mambo kama hayo mwishowe tukabadilishana namba za simu.

Sasa kila kukicha ni simu ni text messages. ananitaka kimapenzi. nishamuambia sina hisia kwake na kwamba nina mpenzi wangu tayari na there cant be anything between us. haelewi kabisa kagoma kuelewa.

Nimfanyeje mtu wa aina hii na tamaa zake za mwili??

Ukishikwa shikamana shosty
 
Da Sophy is back na ushauri kabambe! hehehe

kaizer habari ndo hiyo
 
Back
Top Bottom