Mume wa Mtu ananitaka

Mume wa Mtu ananitaka

Ndio umeamua kuja kunianika hapa? Ole wangu!!

Sasa nifanyeje kama huelewi kila nachokueleza??

Muonjeshe mara moja tu, kisha mwambie kuwa hawezi kazi.

Kuonjesha hiyo haipo kabisa wala sitathubutu

:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?

We nawe ushauri wako huo mmmh unataka kunipoteza mwana wa mwenzio.
 
:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?


roselyne unahitaji maombi....wapi baba Askofu?
 
:A S 101: Dont answer his calls, never reply his texts, au mpe mpenzi wako simu apokee akikupigia. Ila siku ingine usirudie kugawa namba ya simu hovyo hovyo sawa mama?
hapo kwenye RED mh......nilishapigwaga changa la macho ivi ivi.....Demu anapigiwa na jamaa ankupa cm anakwambia jamaa ananisumbua kumbe janja nyani kula indi mbichi!! dah hizi sanaaa sijui zitaisha lini!!
 
Hivi nyie kina dada/mama mnadhani tukishaoa ndio tunakuwa vipofu na hisia zetu za mapenzi zinakwisha kabsaaa zinabakia kwa wake zetu tuu?...

BIG NOOOO...hata nyie mkiolewa bado hisia za mapenzi juu ya hao wengine zinakuwapo sana na sio kwa mmeo tuu...sasa basi naomba ieleweke hivi...

UKIWA APPROACHED na mtu aliyeoa/olewa muelewe kama ambavyo uli-approach-iwa na mme/mkeo na ikiwezekana muwekeane mipaka ili mpeane kwa nafasi...

USHAURI...mpe mwenzio hilo goma ahangaike nalooooo...ila u-siri ni kitu muhimu sana katika mahusiano ya kuibia kama hayo.
 
Kubadlishana namba na mtu haina kosa kwani by the time unampa mtu namba yako unakuwa unaestablish contact na huyo mtu. besides its a only a phone number ikiwa misused kama na huyu baba ambaye anataka kuchukulia advantage ndo inakuwa tatizo.

JS hebu acha kuwa naive kiasi hicho bana. You are not a spring chicken anymore. You are an attractive young lady. Njemba yoyote ikiomba namba yako ujue ina ulterior motive. Wewe eti unadhani ni ku establish contact...contact ya nini na mume wa mtu?
 
acje akakosa yote mpenzi wake atakapojua anachezewa rafu...JS gandana na mpenzi wako wachana na mtu asiye na future na wewe, kwanza mapenzi ya kuvuizia vizia ya nini kwa warembo kama nyie?

inawezekana huyo mpenzi wa JS,ndio hana future naye...
mpaka kufikia kutoa namba yake,ni kwamba dada JS hafeel secured kwenye r'ship yake,,,
sie wanawake tunayo sana hio...kama mtu hana muelekeo unakaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje...!:target:
 
Alaaaa yeye JS alikuwa anategemea nini alipompa jamaa namba yake? Kwamba jamaa ataenda kuitundika ukutani hiyo namba kama pambo? Mademu bana...mtu unampa namba yako halafu akikupigia unalalamika...what the ***?

lol....labda walikuwa hawajamaliza story za party.
 
sie wanawake tunayo sana hio...kama mtu hana muelekeo unakaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje...!:target:

Hapa ndipo ninapokupendea Rozi...yaani unasemaga ukweli bila kumung'unya maneno. Mad respect
 
:rolleyez:mpe mwaya...
mume wa mtu mtamu..asikwambie mtu..
tena kila mtu ana mpenzi wake ndio inanoga zaidi,
akikutema si unarudi tu kwa mumeo?

....umebarikiwa wewe kuliko mashori wote......! please say it again and again!

Check ur PM please.....!
 
inawezekana huyo mpenzi wa JS,ndio hana future naye...
mpaka kufikia kutoa namba yake,ni kwamba dada JS hafeel secured kwenye r'ship yake,,,
sie wanawake tunayo sana hio...kama mtu hana muelekeo unakaa mguu mmoja ndani mguu mmoja nje...!:target:

sasa hapo mbona anaendeleza tatizo badala ya kutatua?..huyo mume wa mtu ndio atakuwa na future nae kama cngle hana future nae?...labda useme awe nae kimaslahi.
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.

Uuummm kutoa namba yako ya simu kwa mume wa mtu uliyekutana naye kwenye sehemu ya starehe si vizuri. Ulitumia vigezo gani kumpa namba yako ya simu?
 
JS usijaribu tena maishani kumpa mwanamme namba kwa misingi ya ati hata abuse sijui kitu gani.

ukimpa mtu namba maana yake ni piga ueleze shida yako...........ukimpa mtu namba means i will love to talk to you again and if we can come to an agreement we can even meet.

kaizer huyu tatizo hawezi kulitatua zaidi ya kulikimbia tu sasa..............akiendelea kupokea simu zake na kumwambia hataki msg inayojipeleka automatic ni 'i am playing hard to get' tu
 
aah!
jeiesi...........
SIKUTEGEMEA AISEE
 
Mueleze vizuri huna haja ya kumtukana ataacha..,lakini akipiga unampa majibu ya kumuintatain wategemea nini.??
Hata miye ntakufuatilia mpaka kieleke hata ikiwa miaka...
By the way usitoetoe No yako pasipo na ulazima especially kwa "mafisi"...
 
Nyie watu on a serious note lakini, is there a problem kutoa namba ya simu?? i mean its only a phone number and you never know iko siku unaweza kuhitaji msaada wa huyo mtu. Hatuishi dunia ya peke yetu ya kutokusaidiana.

Au yeye akahitaji kitu kutoka kwako.........
Nadhani yeye kaanza ana shida ya hiyo kitu............hakuna ubaya hapo:target:!
 
Hivi na wewe Js ulitoa namba yako kwa kidume cha mtu ya nini au valuuuu ilishaweka chengachenga kwa kichwa???? unalo hilo. Kama kweli hunamvuto nae kwanini hujamwambia wa ubani wako kwamba kuna mtu anakusumbua?????
 
Back
Top Bottom