dada white
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 1,228
- 514
ha ha ha, Nazjaz at work.
Una chumba kimoja kama mie kumbe?
Huwa najiuliza Kongosho ni mtu mwenye ubongo wa aina gani sijui?
Last edited by a moderator:
ha ha ha, Nazjaz at work.
Una chumba kimoja kama mie kumbe?
Mmmh mgeni kuingia moja kwa moja chumbani inaleta picha ya haraka kwamba ni chumba kimoja na dish supersport juu yake. Samahani mi napita tu kuna mtu namtafuta hapa JF senkyuu
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Jamani, niko chumbani navaa, mara naona jitu hilo lisha ingia bila hodi wala nini, eti limekuja kuangalia match ya Simba na Yanga.
Nimemuuliza kwake si kuna tv, kwanini usiangalie huko?
Kajibu eti Star Tv haionekani vyema ndo maana kaja kuangalia kwenye Super Sport.
Jamani, nifanyeje, nimuite mkewe naye aje kuangalia mpira? Au nimtimue ? Au nimwachie nyumba? Naomba ushauri kabla sijapoga yowe la mwizi
Jamani, niko chumbani navaa, mara naona jitu hilo lisha ingia bila hodi wala nini, eti limekuja kuangalia match ya Simba na Yanga.
Nimemuuliza kwake si kuna tv, kwanini usiangalie huko? Kajibu eti Star Tv haionekani vyema ndo maana kaja kuangalia kwenye Super Sport.
Jamani, nifanyeje, nimuite mkewe naye aje kuangalia mpira? Au nimtimue Au nimwachie nyumba?
Naomba ushauri kabla sijapiga yowe la mwizi
Thats great..!! Mungu akulinde, wanaume ni wajanja sana.!!
Vp baada gemu jamaa alikula wepesi/uzitoJamani, niko chumbani navaa, mara naona jitu hilo lisha ingia bila hodi wala nini, eti limekuja kuangalia match ya Simba na Yanga.Nimemuuliza kwake si kuna tv, kwanini usiangalie huko? Kajibu eti Star Tv haionekani vyema ndo maana kaja kuangalia kwenye Super Sport.Jamani, nifanyeje, nimuite mkewe naye aje kuangalia mpira? Au nimtimue Au nimwachie nyumba?Naomba ushauri kabla sijapiga yowe la mwizi