Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,684
- 8,833
Jamani, niko chumbani navaa, mara naona jitu hilo lisha ingia bila hodi wala nini, eti limekuja kuangalia match ya Simba na Yanga.
Nimemuuliza kwake si kuna tv, kwanini usiangalie huko? Kajibu eti Star Tv haionekani vyema ndo maana kaja kuangalia kwenye Super Sport.
Jamani, nifanyeje, nimuite mkewe naye aje kuangalia mpira? Au nimtimue Au nimwachie nyumba?
Naomba ushauri kabla sijapiga yowe la mwizi
Nimemuuliza kwake si kuna tv, kwanini usiangalie huko? Kajibu eti Star Tv haionekani vyema ndo maana kaja kuangalia kwenye Super Sport.
Jamani, nifanyeje, nimuite mkewe naye aje kuangalia mpira? Au nimtimue Au nimwachie nyumba?
Naomba ushauri kabla sijapiga yowe la mwizi