Mume mwenza simuelewi ananitafutia jela

Mume mwenza simuelewi ananitafutia jela

Ni kweli haya yanatokea ama umeamua kutunga story tu?

Ungekuwa ndugu yangu ama ningekuwa nakujua lazima ningekutandika ngumi nyingi na vifuti vya kutosha na nisingekupa ushauri wangu wowote.
 
Wanakusaidia kula muwa, pole achana naye tu, mbona kuna wanawake shazi tu
 
Mwanaume mwenzio eti anakuja kwako kumuona mtoto wake...kama anamjali si amchukue...we ni boya sana... Au mke naye kakuteka naona anamuita tu na kumuonesha jamaa yake wa zamani anapoishi na wewe tena bila uoga
nilishakuambia john ni bado mdogo sana
 
Dah pole mkuu Kjj labda washukuru waliokupa ushauri wa kujenga na kubomoa,labda niwaulize hawa wachangiaji hakuna kwao waliokutana kwa mama na baba zao wapo na wanafika majumbani kwenu kuwasalimia mbele ya baba zenu wa kufikia acheni hizo mshaurini vizuri huyu mtu atapata kesi kavurugwa,nimepita tu msije mkanishambulia mshambulieni jombaaa kjj baba johniiiii!
mkuu nashukuru sana kwa mchango wako wa mawazo.jua awa vijana wana jazba sana na kukurupuka .aya mambo unatakiwa uwe unatumia busara kidogo kuyatatua.ni mazito sana
 
Ni kweli haya yanatokea ama umeamua kutunga story tu?

Ungekuwa ndugu yangu ama ningekuwa nakujua lazima ningekutandika ngumi nyingi na vifuti vya kutosha na nisingekupa ushauri wangu wowote.
ndugu yangu ebu kua mpole kidogo jazba sio mzuri
 
kolo mije hile kwambali huku nikiwa na barimi moja baridi.
kaka ushapigwa siku zote wanawake walio zaa hawawezi kuwasahau walio wafungulia bikra au kifungua mimba labda hawe amefariki.
 
Dunia Kuna watu mna mioyo migumu kushinda has mawe

Nafikil mtoa post unasubl umkute na mkeo kitandan kwako Ndio utapata akili timamu
 
Unabidi ukapimwe akili mkuu.....Samahani lakini....ni kwa nia njema tuu.Etii umesema anaenda kwa sherehe ya mdogo wa ex wake alafu analala hukohuko eeeenh....Daaah kapimwe ubongo mkuu
 
If your wife keeps cheating you with the same man, my brother swallow your pride and ask the man what is his secret.
 
mkuu pole sana. Kama mkeo wa ndoa tafuta wasimamizi wenu, kisha asemwe siku hiyo ikishindikana ndo waweza kuhamua.
 
pole sana mkuu ila tafuta manyoya tu!

Huyo kubwa jinga jr , yupo kama jina lake
Hivi kweli hawezi kujiuliza ilikuwaje Balimi zikaingia ndani ya Nyumba kama kulikuwa hakuna makubaliano ya "Naomba uniletee bia"
Huyo Baba john anamjua huyo mama john vizuri sana na walikuwa na mawasiliano ya muda mrefu, na alishampima Kubwajinga na kuona ni mwepesi hiyo baba john kakaribishwa nyumbani rasmi

Kwa kifupi hizo ndio faida za kuoa single mama
 
mkuu pole sana. Kama mkeo wa ndoa tafuta wasimamizi wenu, kisha asemwe siku hiyo ikishindikana ndo waweza kuhamua.

Hivi kweli hii ni issue ya kuwaita wasimamizi?, hii ni issue ya maamuzi tu, huwezi kwenda kwa mke wa mtu na Bia na mnakaa mnakunywa kwa kurelax kabisa
Huyo kubwa jinga jr , bado hajakuwa Mwanaume, bado ni mvulana tu
 
Ameenda kulipa zile bia ulizokunywa kuwa mpole tu

Halafu sidhan kama ni utaratibu sahihi kuja kumuona mwanae hapo huwa anatafutwa mtu tena sio huyo mkeo anampeleka mtoto sehemu watakayopanga amuone baba ake au hata akija maeneo around nyumbani haruhusiwi kifika mnapoishi mtoto atapelekwa
 
Daaaah una uvumilivu sana mkuu. Unalea tatizo kama halijakua basi tegemea siku moja litakua......

Mimi kwanza tokea siku ya kwanza reaction yangu hivyo vimaandazi na chai wangekunywa pekeyao. Na hizo bia chupa zingemuishia mwilini huyo mama Jonii. Halaf baada ya hapo ungeona kama ana nguvu za kwenda kitchen pati na kulala huko. Eti nini?? Mkeo anaenda kulala kwenye sherehe ya ex wake?

Shabaaaash...
Amekwenda pasha "kiporo".....
 
Back
Top Bottom