Pole sana...
Kutokana na jina la ID yako ni sawa kabisa kufanyiwa hayo... Na bado kuambiwa tu, embu tupishe tunamazungumzo ya faragha...
Wanajifungia chumbani, mkuyati unatembezwa baada ya hapo unaambiwa, peleke maji ya kuoga bafuni...
Cc: mahondaw

Pole sana...
Kutokana na jina la ID yako ni sawa kabisa kufanyiwa hayo... Na bado kuambiwa tu, embu tupishe tunamazungumzo ya faragha...
Wanajifungia chumbani, mkuyati unatembezwa baada ya hapo unaambiwa, peleke maji ya kuoga bafuni...
Cc: mahondaw

Umeamua kuwachonganisha kbsaMmh jua tu baba John anapasha kiporo
Mesema tu ukweliUmeamua kuwachonganisha kbsa
mjomba taratibu .mbona tunavunjiana heshima kama ivyoUkioa mwenye Mtoto tegemea vitu km Hivyo.
Pengine watoto wote wa huyo baba john wewe Ni mme jina tuu.
Tatizo lako Ni kupenda mteremko, unashindwa kuoa fresh,
Huenda wewe ndie ulimsababisha wakaachana
Mwanaume utamjua tu.Daaaah una uvumilivu sana mkuu. Unalea tatizo kama halijakua basi tegemea siku moja litakua......
Mimi kwanza tokea siku ya kwanza reaction yangu hivyo vimaandazi na chai wangekunywa pekeyao. Na hizo bia chupa zingemuishia mwilini huyo mama Jonii. Halaf baada ya hapo ungeona kama ana nguvu za kwenda kitchen pati na kulala huko. Eti nini?? Mkeo anaenda kulala kwenye sherehe ya ex wake?
Shabaaaash...
hivi nawe yamekufika kama ya mwenzetu ama darasa tu?Nasubili majibu ili na mimi nijifunze
asante sana mkuu .dunia inamambo leo kwangu kesho kwako
Kivipi??Mwanaume utamjua tu.
Ki maamuzi mkuu.... Nimependa hapo" chupa za bia zitamuuishia mwilini."Kivipi??
Hahaaaa sasa hio ni dharau yani mumeo wa zamani aje kwangu aniachie na bia kabisa.....na wewe kwa akili yako unaniletea???Ki maamuzi mkuu.... Nimependa hapo" chupa za bia zitamuuishia mwilini."
Habari wadau
Naanza kuandika kisa hiki kwa maskitiko makubwa
Mwenzenu nina mke nimebahatika kuzaa nae mtoto mmoja lakini mke huyu wakati huo naanza nae mahusiano yetu nilimkuta na mtoto mmoja wa umri wa miaka 5
Kama mjuavyo nilivutiwa na bibie na sikuona uzito wa kumlea mtoto nilifurahi kujua huyu mke ni mlezi na waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake
Mwezi uliokwisha aliibuka bwana mmoja asubuhi kabla ya mimi sijakwenda kwenye shughuli zangu akakaribishwa mimi nikatoka ukumbini nikamkuta huyu bwana amekaa na watoto wote wawili kwenye kochi, nikamuuliza mama watoto akanijibu nilikuwa nasubiri nikufahamishe huyu ni (baba john) si jina rasmi,nikamsalimia tukaletewa chai tukajumuika pamoja kunywa chai na maandazi tukaongea kuhusu maisha kidogo na akanieleza dhumuni la kufika hapa ni kumuangalia mwanawe ,siku zimekuwa.Hiyo ndo dhambi ya kuoa mke wa mtu,hawataachana hao.
Habari wadau
Naanza kuandika kisa hiki kwa maskitiko makubwa
Mwenzenu nina mke nimebahatika kuzaa nae mtoto mmoja lakini mke huyu wakati huo naanza nae mahusiano yetu nilimkuta na mtoto mmoja wa umri wa miaka 5
Kama mjuavyo nilivutiwa na bibie na sikuona uzito wa kumlea mtoto nilifurahi kujua huyu mke ni mlezi na waswahili wanasema ukipenda boga penda na ua lake
Mwezi uliokwisha aliibuka bwana mmoja asubuhi kabla ya mimi sijakwenda kwenye shughuli zangu akakaribishwa mimi nikatoka ukumbini nikamkuta huyu bwana amekaa na watoto wote wawili kwenye kochi, nikamuuliza mama watoto akanijibu nilikuwa nasubiri nikufahamishe huyu ni (baba john) si jina rasmi,nikamsalimia tukaletewa chai tukajumuika pamoja kunywa chai na maandazi tukaongea kuhusu maisha kidogo na akanieleza dhumuni la kufika hapa ni kumuangalia mwanawe ,siku zimekuwa nyingi nikawaacha mimi nikaondoka kuelekea kwenye mizunguuko yangu
Swali linalonisumbua kichwa huyu bwana alipajuaje hapa nyumbani na kwanini alikuja asubuhi hana shughuli huyu mtu, na pia hivi sasa nasikia mimi nikitoka na yeye anafika mara mbili kwa siku kuangalia mtoto na akifika anaacha mizigo anaondoka sasa juzi ndio ilikuwa kali nilikuta chupa za bia nikaambiwa nililetewa na mume mwenzangu na yeye ameshakunywa zake nikamuuliza mke akanijibu nisiwe na wasiwasi yule anampitia mwanawe na yeye ni mtu mzima hawezi kutuchanganya,lakini jamani mtu na mtuwe ni kama gari na mteremko
Ok kwa sababu ya likizo ya viroba nikajinoma bia lakini kwa shingo upande na kengele ya tahadhari ikinililia kichwani
Leo hii asubuhi mke ananiaga kuwa kuna shughuli sijui inaitwa kitchen mada kama nimekosea mta sahihisha ya mdogo wake baba john nikamkubalia lakini kwa shingo upande anasema kulingana na ratiba za shughuli atarudi kesho
Jamani mpaka kufikia hapa mimi naona mume mwenzangu ananizunguka mbuyu na sitaki afike hapa kwangu naweza kuua na nikapelekwa jela
Wadau naomba mchango wenu niache mke lakini bado nampenda au amchukue mtoto wake lakini john mwenyewe bado mdogo ili anipe amani ,nitaua mimi
assanteni nasubiri ushauri wenu
ata wewe ndugu yangu leo hii unanisalitiSina ushaur ilq mkeo kakuona ww bwege sana subiri kushikwa tako tu kaka
Jamaa ni mpole sana.Hahaaaa sasa hio ni dharau yani mumeo wa zamani aje kwangu aniachie na bia kabisa.....na wewe kwa akili yako unaniletea???
Kwanza sidhani kama anaweza hata kujaribu hilo