TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,913
- 21,863
Mimi nina mke tayari, nataka awe specific, sio apate bwana mwenye kipato cha 1.5 mil kwa mwezi, aingie naye kwenye ndoa, halafu akiwa ndani ya ndoa aanze kumsumbua mumewe, mbona wewe huingizi milion 5 kwa mwezi kama mume wa jiraniMkuu wa Matajiri unahoji kipato unakua kama sisi wavimba macho tena..