Mume mchumba anatafutwa

Mume mchumba anatafutwa

Kila la heri ndoa tamu ukipata mwenza sahihi, ukipata sio yanakukuta ya Jux sherehe kila alhamis had jpili, utaomba poo..
hq720.jpg
 
Unaweza kuacha biashara na kufanya kilimo maana mm boyfriend wako mtarajiwa nafanya kilimo cha muda mfupi njombe,mbeya,same pia nafuga kitimoto hapa dodoma nina watoto wawili wapo kwa shangaz zao ila ukijitokeza nitawaleta kalibu nitawachanganya na wako tuwalee pamoja
 
Unatafuta mume au mwanaume?Kwa ushauri wangu,Get to meet people and know them,Hapo hapo Dodoma Ulipo jichanganye an watu maeneo yenye mikusanyiko.Utakutana na mtu sahihi zaidi kwa ko na kwa wakati sahihi.

Kila la heri kwako.
 
Tatizo kubwa la mabinti ni kuangalia leo badala ya siku za usoni. Binti ukiruhusu tumbo lako likalea kiumbe mpaka ukakileta duniani kabla ya ndoa, kubaliana na usemi kuwa ndoa ni majaliwa.
Hivi una watoto wangapi uongezee na wa mleta uzi muanzishe familia..!!
 
Back
Top Bottom