alooo 2m per mouth,! we unataka ndoa amaa unatafuta mtu wa kubeba majukumu yako uloyatafuta peke zako huko? nikiwa kama katibu wa chama cha wanaume hilo halitawezekana nakushauri mludie baba mtoto wako ndio akuoe.Kuanzi 2m sio mbaya
Sawa tukisikia anaetafuta mke tutakwambia...
Huyo unakuta hata joto hana ubaridi kama panga lililolala nje usiku kucha 😂
Njoo Pm tuyajenge
Ebu njoo tuongeze watoto, kazi yangu nashona viatu
sikuioni PM mke wangu mtalajiwa 😍Karibu
45 si unatafuta mtu wa kukufia tu mkuu?
Nasubiri kibaki kigezo cha upumuaji pekee nijisogeze!
Kwamba kijana hii Degree yangu ya MD nilisoma kichwakichwa bila bios unajua nimefika level nikiona mdada najua kbs mbususu imekaaje 😂Kasome bailojia ndio ukomenti usi expose kutojua kwako ni aibu
Hujasema baba wa mtoto yuko wapi !Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha
Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma
Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu