Mume mchumba anatafutwa

Mume mchumba anatafutwa

Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Nimekwama hapo kwenye age mkuu
 
Asikose pia kwenda kwa Mwamposa. Ahakikishe ananunua maji, udongo, chumvi na sabuni ya upako.

Hahaha haha!!!¡!!!!
Hilo siwezi kushauri maana mimi sijawahi kuhangaikia ndoa namna hiyo..... enzi naolewa mimi ukitaka kuolewa chap kwa sangoma unaoga zako dawa mchumba anakuja kugonga hodi mlangoni. 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 🏃‍♀️
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Hapo kwenye miaka kipengere,age ain't a number!
 
Hahaha haha!!!¡!!!!
Hilo siwezi kushauri maana mimi sijawahi kuhangaikia ndoa namna hiyo..... enzi naolewa mimi ukitaka kuolewa chap kwa sangoma unaoga zako dawa mchumba anakuja kugonga hodi mlangoni. 😆 😂 😆 😂 😆 😂 😆 🏃‍♀️
Ungekuwa hujaolewa...ningekuomba ukaniogee mimi hiyo dawa ili....chap.. 🤸
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Una mapungufu gani makubwa ambayo hujayaandika hapa kwenye tangazo lako?
 
Back
Top Bottom