Mume mchumba anatafutwa

Mume mchumba anatafutwa

Unaweza kuacha biashara na kufanya kilimo maana mm boyfriend wako mtarajiwa nafanya kilimo cha muda mfupi njombe,mbeya,same pia nafuga kitimoto hapa dodoma nina watoto wawili wapo kwa shangaz zao ila ukijitokeza nitawaleta kalibu nitawachanganya na wako tuwalee pamoja

Karibu sana ila kilimo mmh, labda unifundishe kwanza, watoto wawili sio shida ili mradi kipato kitosheleze
 
Maswali kama haya anayaruka ,kwasisi tulisoma saikoloji baba mtoto yupo na anawasiliana naye kama kawaida ila wamepishana kidogo ,mambo yakikaa sawa huko mbele mchumba anayefutwa either atamwagwa au atamixxiwa By Yas.

Una uhuru wa kufikiri kadri ya experience yako na ukubwa wa akili yako
 
Usinambie unataka kujiweka chap 😹😹

Nilitaka aweke level yako ili nimuunganishe na ex wangu anakidhi vigezo vyote anavyotaka..!!
Nataka niwe mchumba wake wa muda mfupi wakati anatafuta mume, na uzoefu mkubwa wa kuusindikiza wadada kwenye ndoa zao.
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Sifa zote ninazo kweny elimu nimekosa sifa
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Ningekuwahi ila ujana ule na wajanja uzeeni ule na wajinga me nakimbia
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Nakupenda sana baby.
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Kwanini kwanza huyo alikuzalisha asikuoe kama ulikuwa wife material kweli?
 
Jamani, mimi natafuta mchumba wa muda mfupi tukijuana awe mume kabisa sifa ni kama ifuatavyo
1. Umri - kuanzia 36-45
2. Kabila - lolote
3. Dini - Mkristu
4. Mkoa - Dar,Dom, Moro au popote ila afikike ki urahisi
5. Watoto - hata akiwa nao wasizidi wawili
6. Kazi- yoyote ila awe na kipato kinachoeleweka
7. Elimu - kuanzia Diploma hadi Professor nakaribisha

Sifa zangu
Umri - 36
Kazi - Biashara
Dini - Mkristu
Mtoto - Mmoja
Naishi - Dodoma

Aliye serious na maisha anicheki tusonge mbele. nipo serious.
Karibu
Huyu atanifaaa kabisa. Njoo pm tuenjoy
 
Back
Top Bottom