Zaidi ni hiari ambayo ikifanyika kwa muda mrefu inakuwa "kawaida". Na waswahili wanasema "kawaida ni kama sheria"! Mkishazoea utaratibu huo, ikitokea siku mwanaume ukaamua kufua mwenyewe kuna nyakati inaweza kuzua maswali yasiyotarajiwa kabisa!: "Kwani leo umetoka wapi?" "Ulikuwa na nani?" etc......ndoa hizi!!!..Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?..
Hayo ni makubaliano yenu wawiliNajiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)
Najiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)
Kuna kazi ambazo naturally mwanaume anaona uvivu kuzifanya, na mwanamke pia ana zinazomtia uvivu. Kama baba wa watu anashinda gereji na tuktuk yako akiifanyia service, why wewe usimfulie?
Kama kuna mapenzi na maelewano, kufua naturally atafua mwanamke. Japo kuna rafiki yangu anasema mkewe ni mvivu sana wa kufua, yeye ndo anafua nguo zake na za mkewe, za ndani na za nje.
Ila mwanaume kunifulia vyupi vyangu hata akitaka itakuwa ngumu manake vina masharti kama ya waganga! Unakuta kitu cheupeee! Afu analoweka na liboxer lake la gray ama black!
Mpenzi, mfulie tu! Lakini usiifanye kuwa sheria. Akiona imelega kidogo akubembeleze sio agombe why vyupi havijafuliwa. Na siku moja moja unadeka afue na yako ili ajikumbushe unavyomjali,lol! Kwenye mapenzi kila mtu anajitahidi kumpa mwenzie ka-addiction flani. (Usije kuuliza about kutandika kitanda sasa eh? Wakioa mikono huwa inakatika)
Ni lazima kuwafulia wanaume hawajui kufua nguo za ndani matokeo yake wananuka kwa kuacha uchafu
ingawa sipo kwenye ndoa, ila huwa napenda bf wangu awe msafi. na mie ndo wa kumsisitiza na kumfanya awe msafi. sitapenda avae pichu iliyofubaa/kutoboka na nikikuta vyup.i vimerundikana lazima ni-mind kwanini hajafua then ntamfulia. nikifanya hvyo siku nyingine hawezi kurundika. huwa nafurahi kumfulia vyup.i, soksi na handkachif. so huwa namwambia fua nguo zote isipokuwa vyup.i, soks na leso ntaja kukufulia iwapo nina ratiba ya kwenda kumtembelea! sijui kama nipo sahihi wadau!!!!!
asikuonee bwana mwambie afue mwenyewe kazi kuzijambia tuu kufua hataki tena mkazie mpaka azifueNajiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)
Apo nakupa 100% charminglady