Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
Najiuliza na nimeona niulize na wengine hasa wenye ndoa.
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)
Mke kufua nguo za ndani za mumewe ni hiari,lazima au makubaliano?
Hiyari: namaanisha mke anaweza kufua atakapojisikia kumfulia au anaweza akaamua siku hiyo asifue akaacha mume afue mwenyewe.
Lazima: kwamba hata iweje mume HATAFUA nguo yake hata kama mkewe kasafiri akirudi atazikuta, zikiisha mume atanunua zingine lakini kamwe hatafua lazima afue mke.
Makubaliano: Mume anaweza kuamua kua atakua anajifulia mwenyewe au wakakubaliana kua yeyote anaweza kufua nguo za ndani za wote wawili.
Naomba mnisaidia hapa....
Kwa uzoefu na utashi wako
HASA WANAUME (sijabagua wanawake)