Usiongee we mwanamke mi natambua hakuna mwanamke atakae mpenda masikini kama sura yake inalipa atahitaji aolewe na mwanaume mwenye pesa.
kwanza wanawake wa leo ni tamaa zinawasumbua ndo maana Cc wanaume tunapangilia good life ili tuwapate kiurahisi na ukiweka tamaa zako unatumiwa na kuachwa vema kwa sababu mna tamaa na pesa hata kuolewa mwaangalia wallet ya _Ashomile_ S
Sasa lini mtatamani maisha ya amani lkn yenye umasikini ?
ukiongea weka ushahidi wangapi mabintu wanapenda kuolewa na masikini .
Wengi wanaolewa tu kheri good life bt unyumba amani hakuna ... Tz ya wanawake wenye tamaa na pesa