Betterhalf
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 2,882
- 2,565
Duuh,unatafuta nini?unashindwaje kutunza uke wako hadi unuke? ondoka tu
Duuh,unatafuta nini?unashindwaje kutunza uke wako hadi unuke? ondoka tu
Ndio=Ndoa{nadhan ulitaka andika hivyo}Huyo jamaa fala sana. Hajitambui kabisa, watu kama hawa ndio hufanya ndio ionekane ndoano.
Watu hamna dogo??Ulijua ana mchepuko na akaahidi hatakuwa naye tena, kumbe wanaendelea, utafanyaje?
ndo huyo mumeo wa long distance...pole mwaya
bibie kama vyuma vimekaza utaenda wapi?Ningekuwa mke ni kwaheri ndoa yangu.. ili aende kwa amani akaonje joto la kuishi na mchepuko.
Hiyo ni dharau kubwa kubwa sana sana kama mwanamke lazima kujithamini kwa kweli.. kwanza mimi najua mume wangu hawezi kujaribu hilo kwangu.. huyo mke nae imekuwaje hadi anadharaulika hivyo tena kwa mpango wa mume!!! Aiseeeeee pole yake
Ila sasa kwanini unuke k?Mwanamke hata kama uneolewa na Managing Director uwe na kashughuli ka kukuingizia hata 1,000 kwa siku kama faida.
Hali kama hii unaweza kula ugali na mchicha ukaishi kuliko manyanyaso haya.
Yap!Ndio=Ndoa{nadhan ulitaka andika hivyo}
JF waweke na vitufe vya dislike aisee!!SASA KAMA UNANUKA ''K'' USIAMBIWE,KUNA WANAWAKE WANANUKA KUANZIA MDOMO, NYWELE MPAKA ''K'', UKIWA UNANUKA HATA MIMI NAMTUMA MCHEPUKO AKUTUSI TU
unashindwaje kutunza uke wako hadi unuke? ondoka tu
Na yamchepuko ikianza kunuka habari itakuwa hiyo hiyo tu, hivyo mchepuko nao hauko salamaKisa kiko hivi:
Mume wa ndoa kamtuma mchepuko amkejeli mke wake kwa maneno ya kejeli na dharau hadi kufikia kumwambia ananuka 'K' na mume anasema yeye ndio aliyemwambia hayo ayaseme kwa mke. Bad enough mwanaume haoneshi kwa mkewe kama ni tatizo yani yupo tu tena anamtetea mchepuko.
Unamshauri vipi mwanamke huyu?
Hiyo inaitwa "living together"Hapo hakuna ndoa zaidi ya sanaa tu....
Ndoa inavunjwa kwa kosa la kipuuzi kama hilo?? Watu wanafanyiwa vitu vikubwa sembuse matusi ya mkosaji hayo.
Wanawake tuache kujipa moyo kwamba akienda kuishi na mchepuko atapata joto ya jiwe! Usikute huo mchepuko anao kama mke kwa miaka kadhaa! Halafu ukute sio pasua kichwa utashangaa umemsusia wanaishi miaka hadibwanazeeka unaomba dua la kuku.
Kama vipi apotezee hayo matusi aendelee na maisha
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 hahahahahahahahahKuna mchepuko niliwahi kumpiga chini tena tukiwa kitandan tena nikiwa kifuani baada kujifanya mdadi umempanda na kutoa kashfa kwa my lovely wife nilichofanya ni kushuka nakuondoka na mapenzi yaliishia hapo
Mkuu kwenye haya maisha usipo jiongeza unaweza uka yumba sanaaaa,na watu ni hodari sanaaaa kusema oooh naondokaaaa sasa ukisha ondoka what is next? sawa umeondoka so what? kama mwanamke pambana jiulize jee ntakua naolewa nakuachwa mpaka lini? hakuna mume mzuri unaweza ukamuacha huyo anaesema ovyo ukakutana na mwengine ukajua umepata mume kumbe uko na mwanamke mwenzio,sasa bora yupi? chamsingi nikupambana na kutokusikiliza ya watu wakikupa ushauri changanya na wako..Wee uko vizuri kimtazamo kumbe
Shkamoo mamdogo...!!Hiyo inaitwa "living together"
Na wewe pia, marahaba 😛😛😀😀Shkamoo mamdogo...!!
Heri ya mwaka mpya
bibie kama vyuma vimekaza utaenda wapi?
Wengine huona kuvumilia maisha yaende