Mume kamtuma mchepuko kumwambia mkewe ananuka uke

Mume kamtuma mchepuko kumwambia mkewe ananuka uke

Ningekuwa mke ni kwaheri ndoa yangu.. ili aende kwa amani akaonje joto la kuishi na mchepuko.

Hiyo ni dharau kubwa kubwa sana sana kama mwanamke lazima kujithamini kwa kweli.. kwanza mimi najua mume wangu hawezi kujaribu hilo kwangu.. huyo mke nae imekuwaje hadi anadharaulika hivyo tena kwa mpango wa mume!!! Aiseeeeee pole yake
Sasa ukishaondoka ndio K itaacha kunuka ama?
 
Hapa sijaelewa lipi ni tatizo?

Kama si kweli , mke wa ndani anajali nini .. Of course CCM , haiwezi takia mema CDM timu pinzani.

Endelea na ndoa yako, pengine ni ubunifu wa mchepuko tu..
 
Ningekuwa mke ni kwaheri ndoa yangu.. ili aende kwa amani akaonje joto la kuishi na mchepuko.

Hiyo ni dharau kubwa kubwa sana sana kama mwanamke lazima kujithamini kwa kweli.. kwanza mimi najua mume wangu hawezi kujaribu hilo kwangu.. huyo mke nae imekuwaje hadi anadharaulika hivyo tena kwa mpango wa mume!!! Aiseeeeee pole yake
Niliwahi kukutana na uzi huku kwamba eti wanawake wanaotoka sheeny fulani (....) sitaitaja wanamazoea ya kutokuosha papuchi zao kwa sababu ya baridi huko kwao. Matokeo yake ni kufika kwa papuchi!!!!
 
Teh hongera, happy new year. Check kuna uzi tumekumention
Daah aiseee I don't see any mention, ila nahisi kuna tatizo somewhere coz sijaonaga mention for nearly 6 months now, hadi nikajisemea nishakuwa zilipendwa kwa watu nini
 
Ukisikia watu wanaamua kujiua kisa mapenzi na wengine wanakufa kwa stress za mapenz wala usicheke ndugu yangu
 
Daah aiseee I don't see any mention, ila nahisi kuna tatizo somewhere coz sijaonaga mention for nearly 6 months now, hadi nikajisemea nishakuwa zilipendwa kwa watu nini
Kama unatumia app ya jf hainaga mentions mara nyingi (my experience), ukiingia kwa browser ndo unaziona
 
ushauri wangu nenda hospital ukatibiwe, kunuka k hakujawahi kuacha ndoa salama
 
Hapa kuna mambo mengi ya kufikiri, huenda alioa kwa kulazimishwa, au mke ameambiwa lakini hasikii, anajifanya kiburi, na haambiliki. na huyu jamaa labda ameshamwambia mlango uko wazi aende lakini hataki, au ni wote wanavumiliana kwa sababu ya watoto, kumbuka moyo ukishachoka kitu huwa hata kama ni dhahabu haukisamini. ila kwa uzoefu wa kuishi katika jamii mchamganyiko Wanawake ni waanzilishi wa matatizo katika ndoa kwa kujua au kwa kutokujua, na mwisho jamii inaona wanaonewa.
 
ha ha ha hii story imenikumbusha mashost wawili walioshibana, mmoja alikua na danga lake zee zee hivi, basi rafiki akaona wivu make shost ake alikua anahudumiwa kweli si akaamua apige u turn ajipeleke kwa hilo zee, bila hiyana zee likavunja mifupa ila rafiki alikua hajui kitu, basi zee likamtuma dem wake nanukuu "mwambie rafiki yako ajifunze mapenzi, kitandani hajui kitu"
Back kwa topic hapo hakuna mapenzi tena, afanye anachoona ni sawa

Hahaha!, sawasawa. Alipata alichokitafuta...lol
 
Back
Top Bottom