Kisa kiko hivi:
Mume wa ndoa kamtuma mchepuko amkejeli mke wake kwa maneno ya kejeli na dharau hadi kufikia kumwambia ananuka 'K' na mume anasema yeye ndio aliyemwambia hayo ayaseme kwa mke. Bad enough mwanaume haoneshi kwa mkewe kama ni tatizo yani yupo tu tena anamtetea mchepuko.
Unamshauri vipi mwanamke huyu?
Mume wa ndoa kamtuma mchepuko amkejeli mke wake kwa maneno ya kejeli na dharau hadi kufikia kumwambia ananuka 'K' na mume anasema yeye ndio aliyemwambia hayo ayaseme kwa mke. Bad enough mwanaume haoneshi kwa mkewe kama ni tatizo yani yupo tu tena anamtetea mchepuko.
Unamshauri vipi mwanamke huyu?