Mulugo: Nilifaulu peke yangu kwenda secondary

Duuu dunia ina vituko sana!
Mzee wa visiwa vya zimbabwe+Pemba leo amefunguka sana me na subiri birthday ya jimbo!

The man iis absolutely ins@ne,kipindi cha kina mulogo kulikuwa na full sponser chuonI bana,au alisoma chuo G@ni hapa mjini!au duce
 
Basi Mulugo anaingia kwenye vitabu vya historia kuwa kilaza aliyesoma na vilaza zaidi ya wote duniani kama alishinda pekee kwenda Sekondari. Ila kwa kumbukumbu zangu ni kwamba wakati ule watu walikuwa wakichaguliwa na si kushinda. Mnaweza kunikosoa kama nimekosea wanangu. Mulugo unamdanganya nani?

Alikuwa kilazza ile mbya,inamanisha yeye ndo alikuw kilaza alieyelimika kidoGo,alafu kusema alikuwa anatafuta pesa inatoka wapi hii,wakati enzi za nyerere watu wamesoma bure au huyu jamaa alisom@ duce nn!au vyuo vya watu wa zima!naomba msaada hapa
 
Mh. N/ Waziri wa elimu, mulugo amesema ktk kipindi cha medani za siasa na uchumi kinachorushwa na star Tv kuwa yeye alisomeshwa na padri na akafaulu pekee yake kwenda secondary.Pia amesema kuwa alichelewa kwenda chuo kikuu kwani alikuwa anatafta fedha kwa ajili ya kujisomesha. swali langu ni kwamba hivi serikali ilikuwa haitoi mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu enzi za akina mulugo?

Serikali Ilikuwa inatoa lakini swala la kujitegemea lilikuwa ni la msingi zaidi na ninazani hapo umepata cha kujifunza na kuwaeleza rafiki na wadogo zetu kuwa swala la mkopo liwe jambo la mwisho kabisa baada ya njia zingine kushindikana.
 
Basi Mulugo anaingia kwenye vitabu vya historia kuwa kilaza aliyesoma na vilaza zaidi ya wote duniani kama alishinda pekee kwenda Sekondari. Ila kwa kumbukumbu zangu ni kwamba wakati ule watu walikuwa wakichaguliwa na si kushinda. Mnaweza kunikosoa kama nimekosea wanangu. Mulugo unamdanganya nani?

Nataka kufahamu kama kulikuwa na wakristo humo darasani maana wakristo huwa hawafeli si mmeona shule zao za sec zinavyofanya vizuri hii ni matokeo ya waliopata elimu ya msingi bora.
 
Ponera jitahidi ujifunze kufikiri. Huyu kilaza Mulugo mbona ni mkristo? Kuwa mkristo si warant ya kuwa bright tuache mambo ya kizamani na kitoto.
 
Hivi haogopi kuendelea kujitetea? Angalia sehemu ya CV yake inavyojichanganya:


  1. Kazaliwa January 1972, darasa la kwanza 1982 yaani miaka 10!!! Dalili ya kwanza ya uongo. Kwanini hakuanza na 7 au 8?
  2. Darasa la kwanza 1982 na kumaliza la saba 1989 ni miaka 8, kama si uongo basi alirudishwa darasa kwa UKILAZA. Haiwezekani madarasa saba yasomwe kwa miaka nane!
  3. Form six 1996, chuo 2002. Miaka 6!!! Alikuwa anafanya nini kama alifaulu form six? Hapa ni UONGO kuwa alikuwa anatafuta pesa ya kusomea huku alikuwa anahangaika kupta CREDITS.
  4. Degree kutoka 2002 hadi 2008, 7 years degree MOJA tu!!!! Huu ni UKIAZI wa hali ya juu mno. Leo hii ni Waziri wa ELIMU, anatuletea ugonjwa gani kwenye mfumo wa elimu Tanzania?




Kipindi anamaliza form 6 (kama kweli alimaliza), serikali ilikuwa inatoa mikopo katika awamu ya kwanza ya kuchangia gharam za elimu ya juu...

Kwa hiyo hawezi kutushawishi kwamba alikosa pesa za elimu ya juu ingawa elimu ilikuwa siyo bure 100% kama miaka ya nyuma hadi mwanzoni mwa 1990s ambapo hata kusafiri ilikuwa ni kwa travel warrant.

MEMBER OF PARLIAMENT CV

GENERAL
SalutationHonourableMember picture
1645.jpg
First Name:Philipo
Middle Name:Augustino
Last Name:Mulugo
Member Type:Constituency Member
Constituent:Songwe
Political Party:CCM
Office Location:P.O. Box 9121, Dar Es Salaam
Office Phone:+255 754 315 922/+255 784 315 922
Ext.:
Office Fax:
Office E-mail:pmulugo@parliament.go.tz
Member Status:Current Member
Date of Birth27 January 1972




School Name/LocationCourse/Degree/AwardStart DateEnd DateLevel
Rukwa Primary School, ChungaPrimary Education19821989PRIMARY
Mbeya Secondary SchoolO-Level Education19901993SECONDARY
Songea Boys' High SchoolA-Level Education19941996HIGH SCHOOL
Open University of TanzaniaBA (Economics Education )20022008GRADUATE
 
Mimi nafikiri kama naibu waziri tunataka tuone analifanyia nn taifa na si kuzungumzia masuala minor kama hayo! Kimsingi mazingira ya shule zilizo chini ya wizara yake ni mabaya kupindukia, kufuatia mada hapo juu naona kuwa mhe. mlogo hastahili kupewa wadhifa mkubwa kama huo kwa maana ni mtu anayetaka kuonekana watofauti kwa sababu ya mazingira magumu aliyosoma. Hii inamanisha kwamba anataka mazingira yaendelee kuwa mabovu ili walio speial kama yeye ndo tu wafaulu! Mimi naamini kuwa kufaulu si bahati bali ni maandalizi mazuri ambayo mwanafunzi amefanya kwa kushirikiana na walimu wake ambapo mazingira bora ya kujifunzia yanachukua nafasi kubwa. Swali la kujiuliza mhe. P. Mulugo amefanya jitahada zipi katika kuboresha elimu na mazingira ya wanafunzi kujifunzia?
 
Mmmmh, ngoja kwanza, shule gani vile alisoma? Msimbishie, anaweza kuwa alikuwa kipanga kwenye hiyo shule, ni yeye pekee alikuwa anaelekea kuwezaweza, kwa hiyo nguvu ya waalimu wote wa upe ilielekezwa kwake. Japo haina maana kuwa alikuwa anaweza kucompete na wanafunzi wa shule za ukweli.
Ni sawa ukisema wewe ni mkurugenzi wa shirika kubwa au meneja, ukakuta meneja wa baa ya mtaani akijilinganisha. Yuangalie na viwango vya shule yenyewe. Ninavyofahamu mwenye akili kweli anakasirika akisoma shule au darasa la vilaza watupu, hawezi kujisifu.
 
Pure lies if this guy is the smartest of his batch it means his was a bunch of tabularasa so to speak. By then chuo ilikuwa ni free sasa anaposema alichelewa kujiunga na chuo ili kutafuta pesa anamdanganya nani? Wakati kwenda chuo ilikuwa ni fursa ya kunenepa kwa kula bure.

Ni kweli wakati huo kwenda chuo ilitegemea uwezo wa mwanafunzi , inawezekana huyu bwana alipata Division III O-level na alipokwenda A-Level akaambulia pengine kati Division IV au O na hivyo akakosa sifa za kujiunga na chuo kikuu ndio maana akawa anatafuta fedha akasome Open University baada ya kukataliwa na vyuo vingine kwa kukosa sifa. Huwezijua bwana masaibu yaliyompata katika mchakato wa kusaka elimu!!!
 
Ni kweli wakati huo kwenda chuo ilitegemea uwezo wa mwanafunzi , inawezekana huyu bwana alipata Division III O-level na alipokwenda A-Level akaambulia pengine kati Division IV au O na hivyo akakosa sifa za kujiunga na chuo kikuu ndio maana akawa anatafuta fedha akasome Open University baada ya kukataliwa na vyuo vingine kwa kukosa sifa. Huwezijua bwana masaibu yaliyompata katika mchakato wa kusaka elimu!!!

ww nae Kiazi kweli Open inapokea div IV na 0?? Labda Open ya kijijini kwenu
 
Huyu bwana alipokuwa Mbeya Secondary alikuwa Head Prefect na alipokwenda Songea Boys akisoma masomo ya HGL alifeli FORM VI kwa KUPATA DIV 0, na aliporudi MBEYA akawa anafundisha ktk shule 1 ya Sekondary ya WAHINDI pale Town kwa kutumia vyeti feki. Then yule muhindi shule ikamshinda akamwachia MULUGO akarudi kwao INDIA. From there jamaa ndo akaanza kupata fedha na alipogombea ubunge inasemekana alikuwa anajitambulisha amesoma UDSM Kumbe ndgu yake ndo alisoma UDSM anatumia vyeti vya huyo ndgu yake. kashfa zilipozidi ndo akatoa record kuwa kasoma OPEN.

Huyu ndiye Naibu Waziri wa Elimu Tanzania.
 
Hahahahaaaaaaaa! aseme ukweli alikuwa anahatamia "KAYAI" kake ka F6.
 
Jamani tumuache mweshimiwa, mimi namfahamu nimesoma nae darasa moja mbeya day, ukweli ni kuwa zamani watu wa kipato cha chini walikuwa hawezi kujilipia private school, ndio maana na yeye kwa kuwa ametoka katika familia duni ilibidi akariri shule ili afaulu, alirudia darasa la saba kwa jina la Hamimu Agustino na ndilo alilosomea mbeya day, then baada ya kumaliza six alirudisha jina lake la zamani la Philipo Mulugo na Akaliendeleza la Agustino Katikati. so ndio maana anaitwa philipo agustinno mulugo

maisha ni kupambana kutafuta alternative, that why hata alipomaliza six hakupa pass nzuri za kwenda mlimani then akaanza kufundisha na baadae kujisomesha open university

Nampongeza kikwete kumchangua mtu ambae ametoka kwenye familia ya no body, hii nchi ni yetu sote sio watu pekeee waliokulia mjini na walio bright tu!!

jiangalieni kwenye familia mlizopo nani hakuna mtu aliyekosa ndugu aliyekariri, so it was kasumba ya wakati ule.

The fact kuwa anatoka katika familia mbovu haimpi justification ya kutumia jina ambalo siyo lake kwenye masomo.

Ingekuwaje basi kama wale wote ambao wametoka kwenye familia mbovu wangekuwa wanafannya magumbashi kama hayo?
 
Mimi nafikiri kama naibu waziri tunataka tuone analifanyia nn taifa na si kuzungumzia masuala minor kama hayo! Kimsingi mazingira ya shule zilizo chini ya wizara yake ni mabaya kupindukia, kufuatia mada hapo juu naona kuwa mhe. mlogo hastahili kupewa wadhifa mkubwa kama huo kwa maana ni mtu anayetaka kuonekana watofauti kwa sababu ya mazingira magumu aliyosoma. Hii inamanisha kwamba anataka mazingira yaendelee kuwa mabovu ili walio speial kama yeye ndo tu wafaulu! Mimi naamini kuwa kufaulu si bahati bali ni maandalizi mazuri ambayo mwanafunzi amefanya kwa kushirikiana na walimu wake ambapo mazingira bora ya kujifunzia yanachukua nafasi kubwa. Swali la kujiuliza mhe. P. Mulugo amefanya jitahada zipi katika kuboresha elimu titna mazingira ya wanafunzi kujifunzia?

Kipindi cha Dak 45 kimetoa nuru yoyote kuhusu jitihada za wizara katika kuboresha mazingira ya shule au kimefanikisha kuthibitisha ulilaza wa huyu jamaa anayetumia vyeti vya watu wengine. Kweli nimeamini Tanzania ni muunganiko wa Zimbabwe na Pemba na siyo "sleep" of tongue
 
Basi Mulugo anaingia kwenye vitabu vya historia kuwa kilaza aliyesoma na vilaza zaidi ya wote duniani kama alishinda pekee kwenda Sekondari. Ila kwa kumbukumbu zangu ni kwamba wakati ule watu walikuwa wakichaguliwa na si kushinda. Mnaweza kunikosoa kama nimekosea wanangu. Mulugo unamdanganya nani?

walikuwa wanachaguliwa kwa kufuata alama za ufaulu kuliko wingine.
 
Back
Top Bottom