CSTs Isco
Member
- Aug 20, 2018
- 69
- 15
Nitumie PDF ya IFM single selectionIFM, Ushirika moshi (MUCOBS), TIA-dsm campum.... anasubiri mzumbe tu...juzi jumatatu aliwapigia mzumbe wakamwambia hawajamaliza kufanya selection so asubiri SHOOyaKIBABE
Nitumie PDF ya IFM single selectionIFM, Ushirika moshi (MUCOBS), TIA-dsm campum.... anasubiri mzumbe tu...juzi jumatatu aliwapigia mzumbe wakamwambia hawajamaliza kufanya selection so asubiri SHOOyaKIBABE
Saut ,Tpsc pia wameshatoa na TIANitumie PDF ya IFM single selection
Ni kweli kuweni makini na account zenu maana majibu yanatolewa direct in our accountDaah! kwa kifupi ni kwamba kuna vyuo havijapost single selected students ila vimejibu baadhi ya wanafunzi katika status zao.
PoaDaah! kwa kifupi ni kwamba kuna vyuo havijapost single selected students ila vimejibu baadhi ya wanafunzi katika status zao.
Hila kuna hivii vyuoo vitatuNi kweli kuweni makini na account zenu maana majibu yanatolewa direct in our account
PoaSaut ,Tpsc pia wameshatoa na TIA
Huyu aliongea nao tarehe 24 alafu anakuja kutuletea taarifa za tarehe 24 leo,taarifa zake ni outdatedMkuu sijakuelewa sasa wanasema hawajamlza kufanya selection hayo majina ya tcu wameyatoa wapi je hao wakifanyiwa selection wanajuaje kama hawachaguliwa vyuo vingine?ili wawe kwenye multiple naomba ufafanuzi wako
Ni kweli kuweni makini na account zenu maana majibu yanatolewa direct in our account
kweli ase tatizo watu wanasubiri majina yao yapostiwe kumbe kila mtu anayo-account yake anaweza kuingia mara kwa mara kuchek statuaNi kweli kuweni makini na account zenu maana majibu yanatolewa direct in our account
nimekuwekea namba za udom nilioongea nao jana saa 10 jioniHuyu aliongea nao tarehe 24 alafu anakuja kutuletea taarifa za tarehe 24 leo,taarifa zake ni outdated
Taarifa yako ni outdated,wewe ulizungumza nao tarehe 24 alafu unatuambia leo habari za tarehe 24...selection tayari na ndo mana hivyo vyuo ukiangalia wenye multiple selection kwenye second round na vyenyewe vipo....how comes vyuo ambavyo unadai havijamaliza selection vionekane kwenye wale wa multiple selection??cku nyingine leta current newsTANZANIA NCHIYANGU vip unasemaje kuhusu iyo email hapo ya udsm je na wenyewe wanapotosha !?
+255262310300 hii ni namba ya udom wasiliana nao na wewe ujiridhishe.
Jibu swali sasa how comes hawajamaliza selection alafu waonekane kwenye multiple selection ya second round??nimekuwekea namba za udom nilioongea nao jana saa 10 jioni
jaribu kuwapigia kuliko kutumia nguvu kupinga kila kitu then uje utuambie wamekuambiaje
TCU huwezi gundua majina walipost saa ngapi,huwa hawaoneshi muda waliopost...or we mwenzetu una utaalamu huo nenda kaangalie muda waliopost screen shot then leta hapaumeangalia ni tarehe 24 saa ngapi na nenda site ya TCU angalia maji walipost saa ngapi
mimi nimewasiliana nao na sio lazima uamini nimeongea nao hapo kuna email ya mtu aliyerepy kutoka udsm na kuna namba za udom.Jibu swali sasa how comes hawajamaliza selection alafu waonekane kwenye multiple selection ya second round??
Yaani wewe unang'ang'ania nimewasiliana nao..nimewasiliana nao...hakuna anayekutaa kuwa hujawasiliana nao nachokwambia taarifa zako zilikuwa valid kipind ambacho unawasiliana nao but kwa sasa ni invalid ndo mana nakwambia usitoe taarifa ambazo ni invalid ulitakiwa uzitoe kipendi wawasiliana nao...kama taarifa zako ni valid how comes chuo ambacho hakijamaliza selection kionekane kwenye majina ya multiple wa second round??mimi nimewasiliana nao na sio lazima uamini nimeongea nao hapo kuna email ya mtu aliyerepy kutoka udsm na kuna namba za udom.
we fanya kuwasiliana nao then uje na updates hapa maana unavoniuliza maswali bila wewe kuwa na taarifa yoyote kutoka katika chuo chochote haitasaidia