Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 334
- 657
Februari mwaka 2016 Yanga ya Manji iliingia kampeni ya kuiwakilisha Tanzania na kuanzia kwenye klabu bingwa wanaanzia hatua ya awali wakipangwa na Cercle de Joachim ya Mauritius Yanga inashinda ugenini 1-0 na nyumbani 2-0 wanavuka na kuingia hatua ya pili
Hapa wanakutana na APR ya Rwanda Yanga wanashinda 2-1 ugenini na kutoa sare 1-1 nyumbani Daslama wanavuka na kuingia hatua ya tatu ambayo kwa utaratibu wa siku hizi tungesema ameingia group stage Hapa anakutana na kigingi AL Ahly ya Cairo Yanga anaanzia nyumbani na kutoa sare 1-1 na ugenini unapigwa mpira mkubwa sana Yanga inapoteza kwa 2-1 goli la Donald Ngoma krosi ya Juma Abdul
Hadi hapa Yanga haijafungwa mechi yoyote nyumbani dare s salaam
Yanga inarudishwa play off ya shirikisho na inapangwa na Sagrada Esperanca ya Angola Yanga inashinda 2-0 nyumbani na kupoteza ugenini 1-0
Ikiwa haijapoteza mchezo wowote nyumbani Yanga inavuka na kuingia hatua ya makundi hatua ambayo kwa siku hizi ingeitwa robo fainali kwa maana ni makundi mawili tu na kila kundi timu nne ambapo inapangwa na Mo Bejaia, TP Mazembe na Medeama ya Ghana
Katika mechi za makundi za nyumbani Yanga anamfunga Mo Bejaia 1-0 anatoa sare na Medeama 1-1 na kufungwa mechi moja tu na TP Mazembe 1-0
Hii ikasababisha Nchi ya Tanzania itoke kusikojulikana na kushika nafasi ya 16 kati ya nchi 56 Afrika
LINK
Kama makolo wameiiingiza Tanzania kwenye nchi 12 kati ya 56 basi wajue tulishawahi kufika 16 yaani zilibaki timu 4 tu tuwe 12 na tupeleke timu 4
Pia Yanga ikawa timu pekee Tanzania kuingia kwenye Rank za CAF ikiwa nafasi ya 26 Afrika watani zao wakiwa matopeni kipindi hicho
LINK
Pia msimu huo wa 2016 Yanga ilicheza mechi saba nyumbani ikapoteza mechi moja dhidi ya TP Mazembe
Kiujumla msimu ambao Manji alikuwepo Yanga 2014-2018 Yanga ilicheza mechi 21 uwanja wa nyumbani na kupoteza mechi 3 tu kwa kuwa watu hupenda kubisha nimekuwekea mechi moja moja na mashindano husika ujikumbushe
Hapa wanakutana na APR ya Rwanda Yanga wanashinda 2-1 ugenini na kutoa sare 1-1 nyumbani Daslama wanavuka na kuingia hatua ya tatu ambayo kwa utaratibu wa siku hizi tungesema ameingia group stage Hapa anakutana na kigingi AL Ahly ya Cairo Yanga anaanzia nyumbani na kutoa sare 1-1 na ugenini unapigwa mpira mkubwa sana Yanga inapoteza kwa 2-1 goli la Donald Ngoma krosi ya Juma Abdul
Hadi hapa Yanga haijafungwa mechi yoyote nyumbani dare s salaam
Yanga inarudishwa play off ya shirikisho na inapangwa na Sagrada Esperanca ya Angola Yanga inashinda 2-0 nyumbani na kupoteza ugenini 1-0
Ikiwa haijapoteza mchezo wowote nyumbani Yanga inavuka na kuingia hatua ya makundi hatua ambayo kwa siku hizi ingeitwa robo fainali kwa maana ni makundi mawili tu na kila kundi timu nne ambapo inapangwa na Mo Bejaia, TP Mazembe na Medeama ya Ghana
Katika mechi za makundi za nyumbani Yanga anamfunga Mo Bejaia 1-0 anatoa sare na Medeama 1-1 na kufungwa mechi moja tu na TP Mazembe 1-0
Hii ikasababisha Nchi ya Tanzania itoke kusikojulikana na kushika nafasi ya 16 kati ya nchi 56 Afrika
LINK
CAF Countries Ranking ( 31st December 2016 ) - Global Football Ranks
Global Football Ranks,Global Football Ranking,soccer
globalfootballranks.com
Pia Yanga ikawa timu pekee Tanzania kuingia kwenye Rank za CAF ikiwa nafasi ya 26 Afrika watani zao wakiwa matopeni kipindi hicho
LINK
CAF Club Ranking ( 31st December 2016 ) - Global Football Ranks
Global Football Ranks,Global Football Ranking,soccer
globalfootballranks.com
Pia msimu huo wa 2016 Yanga ilicheza mechi saba nyumbani ikapoteza mechi moja dhidi ya TP Mazembe
Kiujumla msimu ambao Manji alikuwepo Yanga 2014-2018 Yanga ilicheza mechi 21 uwanja wa nyumbani na kupoteza mechi 3 tu kwa kuwa watu hupenda kubisha nimekuwekea mechi moja moja na mashindano husika ujikumbushe
- Yanga ilimfunga Komorozine 7-0 (Champion’s league 2014 preliminary round)
- Yanga ilimfunga Al-Ahly ya Misri 1-0 (Champion’s league 2014 First round) wanaenda kutolewa kwa penalt Misri
- Yanga anamfunga BDF XI 2-0 (Caf Confederation Cup 2015 preliminary round)
- Yanga anamfunga FC Platnum ya Zimbabwe 5-1(Caf Confederation Cup 2015 first round)
- Yanga anatoka sare 1-1 na Etoile du Sahel ya Tunisia (Caf Confederation Cup 2015 second round) anatolewa ugenini
- Yanga anamfunga Cercle de Joachim 2-0 (Champion’s league 2016 preliminary round)
- Yanga anatoka sare na APR 1-1 (Champion’s league 2016 first round)
- Yanga anatoka sare na AL-Ahly 1-1 (Champion’s league 2016 second round)
- Yanga anamfunga Sagarda esperanca 2-0 (CAF Confederation cup play off 2016 third round)
- Yanga anamfunga Mo bejaia 1-0 (CAF Confederation cup 2016 group stage)
- Yanga anatoka sare na MEDEAMA 1-1 (CAF Confederation cup 2016 group stage)
- Yanga anapoteza kwa TP Mazembe 1-0 (CAF Confederation cup 2016 group stage)
- Yanga anatoka sare 1-1 na Ngaya Club ya Comoro (CAF Champions league 2017 first round)
- Yanga anatoka sare na Zanaco 1-1 (CAF Champions league 2017 Second round)
- Yanga anamfunga MC Algiers ya Algeria 1-0 (CAF Confederation Cup play off 2017)
- Yanga anamfunga Saint Louis suns 1-0 (CAF Champions league 2018 first round)
- Yanga anapoteza dhidi ya Township rollers 2-1 (CAF Champions league 2018 second round)
- Yanga anaifunga welayta Dicha 2-0 Play off Caf confederation cup 2018
- Yanga anasuluhu na Rayon Spot 0-0 ( Caf confederation cup 2018 group stage)
- Yanga anamfunga USM algier ya Algeria 2-1 ( Caf confederation cup 2018 group stage)
- Yanga anapoteza kwa gor Mahia 3-2 ( Caf confederation cup 2018 group stage)