Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Ni kweli alizomewa baada ya kuanza kuiponda chadema watu wakaanza kumzomea na kuondoka,take it or leave it i was there
Waambie mkuu maana mimi nimechoka,mtu anaibishia mpaka sauti!!!?
Ni kweli alizomewa baada ya kuanza kuiponda chadema watu wakaanza kumzomea na kuondoka,take it or leave it i was there
Kutokana na taarifa ya habari ya saa mbili usiku ya ITV, Katibu Mkuu wa CCM, Mukama alipokelewa na umati mkubwa wa wananchi mjini Musoma. Cha kushangaza ni kuwa mpaka afike kwenye mkutano wa hadhara, walikuwa wamebakia watu wachache, na hao wachache waliobakia walikuwa wakimzomez, kitendo ambacho kilimfanya aahirishe mkutano huo.
Kama hukusikia,hebu tupe sababu ya Mkama kukatisha mkutano huo?
Msarendo said:CCM ENOUGH IS ENOUGH!! Watu wameshachoshwa! We need new CHANGES.
Whic is which?2015 wasiibe kura..cus wameshazoea hawa magamba party.