GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,049
Nipo katika Magrupu yao wote ( Wana Habari na Maafisa Habari ) ya WhatsApp na Vijembe vinavyoendelea huko si vya nchi hii huku Wengine kila Nikichati nao tu wananijibu kwa Furaha huku wakisema Mnafiki, wa Kujipendekeza na Misifa anaelekea Ukingoni na ameshapatikana.
Sijui kuanzia sasa GENTAMYCINE nitaendelea kumuona Mtu akifanya Mazoezi yake ya Kukimbia Kishamba na kwa kutafuta Sifa Juu ya Daraja la Tanzanite huku Akimsifia Mama au yote haya baada ya Reshuffle ya muda mfupi uliopita.
Sijui kuanzia sasa GENTAMYCINE nitaendelea kumuona Mtu akifanya Mazoezi yake ya Kukimbia Kishamba na kwa kutafuta Sifa Juu ya Daraja la Tanzanite huku Akimsifia Mama au yote haya baada ya Reshuffle ya muda mfupi uliopita.