Mukama akumbana na zomea zomea huko musoma.

Ccm wanapesa nashauri huyu mzee wamnunulie kigari kama kile pope john paul 2 alichokuwa anatumia kwenye ziara zake ambacho kimezingirwa na kioo kila kona, kitamwezesha kupita maeneo korofi kama mara,mza,ar na moshi, vinginevyo haya maeneo atayakwepa, atafutiwe hicho kigari fasta aokoe jahazi
Nmeipenda hio!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom