Mukama akumbana na zomea zomea huko musoma.

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Muda mfupi uliopita ITV imetangaza zomea zomea katika mkutano huo, hali iliyomlazimu katibu mkuu huyo akatishe hotuba yake.
 
Hii imetokea kwenye moja ya mikutano ya ccm huko musoma.inasemekana katibu mkuu wa ccm bw wilson mukama alipata mapokezi makubwa lakini watu walitoweka baada ya mkutano kuanza huku wale waliobaki walikuwa wakizomea mara kwa mara hatimaye kupelekea mukama kukatisha hotuba yake.
 
Kutokana na taarifa ya habari ya saa mbili usiku ya ITV, Katibu Mkuu wa CCM, Mukama alipokelewa na umati mkubwa wa wananchi mjini Musoma. Cha kushangaza ni kuwa mpaka afike kwenye mkutano wa hadhara, walikuwa wamebakia watu wachache, na hao wachache waliobakia walikuwa wakimzomez, kitendo ambacho kilimfanya aahirishe mkutano huo.
 
Hii imetokea kwenye moja ya mikutano ya ccm huko musoma.inasemekana katibu mkuu wa ccm bw wilson mukama alipata mapokezi makubwa lakini watu walitoweka baada ya mkutano kuanza huku wale waliobaki walikuwa wakizomea mara kwa mara hatimaye kupelekea mukama kukatisha hotuba yake.


Source:ITV NEWS
 
We acha tu ccm wanayo kazi na bado,go to hell ccm.Nimeiona hiyo taarifa na nimeshangaa katibu huyo mkuu wa ccm kasema "ifikapo 2015 hiyo hospitali itakuwa imekamilika"Inamaaana kwa miaka iliyo salia wananchi waendelee kufa?Hawa ccm ni wasanii hiyo ahadi yenyewe waliyoitoa ni hewa sbb mpaka madawati kwa ajili ya shule wanasaidiwa na vodacom?Kabla ccm hamjatuua inabidi tuwawahi
 
jamani mbona nimeangalia newz sijaona hyo kuzonea zomea ma,bo mengine tusiwe tunazusha kwa sababu ya upinzani wameonyesha ana hutubia ila ambacho sijakipenda ni mbunge wa zamani mathayo kutamka kuwa mbunge wa chadema na wanachadema ni wezi juu ya madawati aliyosema yamechukuliwa na chadema
 
mwanzo tu atazomewa sana mwisho wa siku majiwe, kwani yeye hajiulizi kwanini mwenyekiti wake haendi mikoani, anajua kilichompata yeye, mawaziri na sasa kinaendelea kwa wabunge wao wamuulize nyambari!!
 
Alipokua anaingia msoma amepokewa na watu wengi sana.alipoanza kutoa hotuba yake watu wakaanza kuondoka mmoja mmoja,hadi wakabaki wachache wanamzomea,akaamua kukatisha hotuba yake baada ya kuona zomeazomea imezidi kiwango.
 
safi wabaki na sera zao za udini!!!na madiwani dar nao wasema wamechoka kudharauliwa na viongozi wa juu wa serikali
 
Huyu mzee afadhali hata ya Makamba. Mukama hana mvuto wa kisiasa. Bora angebaki na utaalam wake tu. Au angechukua haiba ya Mangula. Sikuwahi kumsikia Mangula akipayuka, na bado alifanya kazi yake vyema. Mukama anaigiza. Namshauri kazi ya kupayuka na propaganda awaachie kina Nape. Nimecheka kimoyomoyo nilipokuwa naangalia itv taarifa ya habari pale Maratu aliporipoti kuwa Mukama alipokelewa na umati mkubwa huko Mara halafu wananchi wakaanza kuzomea huku wakipungua mkutanoni kitendo kilichomfanya kukatisha hotuba. Sijui kama tbc walithubutu kusema ukweli huu. Mukama, aidha uache siasa ama uwe wewe, ama umuige Mangula. Sasa hivi unajiharibia jina tu
 
jamani mbona nimeangalia newz sijaona hyo kuzonea zomea ma,bo mengine tusiwe tunazusha kwa sababu ya upinzani wameonyesha ana hutubia ila ambacho sijakipenda ni mbunge wa zamani mathayo kutamka kuwa mbunge wa chadema na wanachadema ni wezi juu ya madawati aliyosema yamechukuliwa na chadema

Nathibitisha ni kweli kwamba kwa Mujibu wa ITV Mukama hotuba yake ilikuwa inakatishwa katishwa na Zomea Zomea
 
jamani mbona nimeangalia newz sijaona hyo kuzonea zomea ma,bo mengine tusiwe tunazusha kwa sababu ya upinzani wameonyesha ana hutubia ila ambacho sijakipenda ni mbunge wa zamani mathayo kutamka kuwa mbunge wa chadema na wanachadema ni wezi juu ya madawati aliyosema yamechukuliwa na chadema

Mtangazaji alieripoti ndio kasema ilikuwapo hali ya wananchi kuzome zomea ktk mkutano huo hali iliyosababisha Katibu mkuu huyo kukatisha mkutano,ila hawajaonyesha live zomea hiyo japo sababu ya msingi ya kukatisha mkutano huo ni hali ya wananchi kumzomea Mkama wa ccm.Sasa wewe ndio unaleta ushabiki wakati hukuwa makini kusikiliza taarifa ile.Go to hell ccm
 
mukama-1.JPG

SAFI SAAAAAAAAAAAAAAAA MUSOMA WA KUPIGA HUYO ZOMEA HAITOSHI WHY HAJAENDA TARIME AISEE
 
jamani mbona nimeangalia newz sijaona hyo kuzonea zomea ma,bo mengine tusiwe tunazusha kwa sababu ya upinzani wameonyesha ana hutubia ila ambacho sijakipenda ni mbunge wa zamani mathayo kutamka kuwa mbunge wa chadema na wanachadema ni wezi juu ya madawati aliyosema yamechukuliwa na chadema

habari imeripotiwa hivyo, hawajaonesha jins alivyozomea. Kama ni uzush bas aliyeripoti hiyo habari ndiye mzushi
 
Kwa kweli wana kazi ngumu ya kurudisha imani ya chama kwa wananchi!
 
mukama-1.JPG


SAFII MUSOMA KWA KUMUONYESHA HAKUBALIKI WHY HAJAENDA TARIME?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom