min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 58,066
- 166,584
Wakisimama nchale wakiinama nchalešwanamenyana wenyewe kwa wenyewe
Wakisimama nchale wakiinama nchalešwanamenyana wenyewe kwa wenyewe
Pole pole atafte kazi nyingine ya kufanyaSUMMARY YA PRESS YA POLEPOLE@AbroadTanzania
1. Pole pole amemkataa Mgombea wa CCM Ataja kikwete kuvuruga mchakato, asema Utaratibu ulivunjwa, ataka wagombea wawe wengi siyo mmoja.
2. Asema SERIKALI ya Samia ni Kama Nyumba ambayo haina mwenyewe hakuna mwenye kauli ya kimamlaka.
3. Asema ndugai alimuonya kuhusu shule ya uongozi na kusema asipoacha atauwawa!
4. Asema kwamba Hata Magufuli alitoka nje kupigiwa kura upya
5. SERIKALI ya Samia kumejaa wahuni wanaomzunguka Ndo sababu ya kwanza kujiuzulu ili awe huru kusema
6. Wazee kwenye colido wanamkataa Samia Ila kwenye vikao wanakaa kimya
#KataaWahuni
Sikiliza hii press vzrAtuambie pia nani alimpiga lisu risasi na nani alimtekaa Ben sa8 ,ndio hayo menginee yafate tumueleweeee š¤š¤
Wote waliopo ndani ya pango la walanguzi wametoka nje nje kulinda usalama wao!pole pole hana hoja, anaropoka ropoka tu
Yaani wamezuia mikutano ya CDM nyumba inaungua kwao wanatafutana kuna akina Job wako kimya watakuwa wanatunga sheriaWakisimama nchale wakiinama nchaleš
š š š šCDF mstaafu akisema ataje wahuni waliokuwa hawataki Mama Samia awe rais mara baada ya kifo cha JPM huyu Polepole jina lake lazima liwe tatu bora. Mama ni mvumilivu sana.
Mpaka awataje watekaji Kwa majina ndo nitamwelewa
Mbona hueleweki utafkiri sigara kali, mara Cdf mara mama. Unakuwa kama bed to bed midfielderCDF mstaafu akisema ataje wahuni waliokuwa hawataki Mama Samia awe rais mara baada ya kifo cha JPM huyu Polepole jina lake lazima liwe tatu bora. Mama ni mvumilivu sana.
Mnampitisha mtu Ambae hata fomu ya kuomba kugombea hajachukua na kujaza,Angalau Jiwe alichukua hata hiyo fomu
Kikwete anawaburuza atakavyo yaani!Mnampitisha mtu Ambae hata fomu ya kuomba kugombea hajachukua na kujaza,
Haya maajabu utayakuta CCM tu, Tena niwaulize ni lini Samia aliomba kugombea urais wa JMT?
Mkuu, hujui hata mmoja?Hizi point 2 ni NONDO haswa tunawataka kujua hao Wazee wanaokataa kwenye Colido ila wakiingia kwenye Vikao wanaogopa kufa ni akina nani?
Hujasoma kijitabu cha Kabendera? Maana huu ndio ukweli wa watu wenye upeo mdogo wa kufikiri wanavyotakaAtuambie pia nani alimpiga lisu risasi na nani alimtekaa Ben sa8 ,ndio hayo menginee yafate tumueleweeee š¤š¤
Angalau kulikuwa na kura za maigizo,Huyu alijipitisha bila hata hayo maigizo,na wakati wa vikao vya kumpitisha ulikuwa bado,sijui alikuwa anawahi wapi?!!!š¤Sijaelewa hiyo namba 4, Magufuli si kulikuwa na fomu 1 na kura za maigizo?
Job Ndugai akajifanya ni mtu wa kulinda maslahi ya walafi lakini haikuchukua muda akamwagwa!Yaani wamezuia mikutano ya CDM nyumba inaungua kwao wanatafutana kuna akina Job wako kimya watakuwa wanatunga sheria
Job ilikuwa mapema aliona maisha yatakuwa magumu, lakin usikute ana madeal yake akahofu yasijevurugika, sasa pole pole ana madeal gani wameishia kumteka dada yake ambaye hausiki chochoteJob Ndugai akajifanya ni mtu wa kulinda maslahi ya walafi lakini haikuchukua muda akamwagwa!
Mjinga unawaongoza wenye akili,unategemea patakuwa na utulivupole pole hana hoja, anaropoka ropoka tu
kuonesha kuwa mchakata haukuenda kulingana na sheria waliojiwekea CHAMA
Kwanza aombe radhi kwa wananchi ,na pili akili kua waliyoasisi kipindi kile cha Jiwe leo kimewarudia happ sasa ndo nitaamini huyu anaomba toba vinginevyo ni kelele tu zisizokua na maana.