Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Enzi za jiwe aliufyata kimya, na sisi atutaki wanafiki. kipindi kile alitamba wanatembelea mavietee. amuache mama naye atambeee 📢📢📢
 
KKosa la Samia kwa hio ni kugoma kutoka nje?

usichoelewa nini
sheria ni kuwa mgombea awe nje mchakato ukiendelea
yeye SAMIA alikataa kutoka nje
ndio mana polepile akasema kuwa hata magufuri alitoka nje kuonesha kuwa mchakata haukuenda kulingana na sheria waliojiwekea CHAMA
 
Polepole hajaona kosa la Samia katika utawala wa Samia .ila mchakato wa kumpata Samia ndio kaona una makosa
 
Enzi za jiwe aliufyata kimya, na sisi atutaki wanafiki. kipindi kile alitamba wanatembelea mavietee. amuache mama naye atambeee 📢📢📢
Screenshot_2025-07-17-20-54-45-1.png
Screenshot_2025-07-14-22-39-52-1.png
Screenshot_2025-07-13-10-05-22-1.png
 
Polepole ni walewale CCM, uhuni walioufanya 2020 hajauzungumzia kwanini?
 
Polepole hajaona kosa la Samia katika utawala wa Samia .ila mchakato wa kumpata Samia ndio kaona una makosa
Mkuu, umemsikiliza alivyofafanua, kwa mfano hiyo pointi ya 2 hapo juu?

Ni wazi hujaelewa alichozungumza balozi Polepole.
 
Back
Top Bottom