Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Muhtasari wa mkutano wa Humphrey Polepole

Pole Pole - Political Science and Public Administration - ni somo pana sanaa
Time is makangability
 
Mimi nilidhani anataja majina ya watu walikukuwa wanaokotwa wakielea kwenye viroba.
 
Sijaelewa hiyo namba 4, Magufuli si kulikuwa na fomu 1 na kura za maigizo?
usichoelewa nini
sheria ni kuwa mgombea awe nje mchakato ukiendelea
yeye SAMIA alikataa kutoka nje
ndio mana polepile akasema kuwa hata magufuri alitoka nje kuonesha kuwa mchakata haukuenda kulingana na sheria waliojiwekea CHAMA
 
SUMMARY YA PRESS YA POLEPOLE
@AbroadTanzania

1. Pole pole amemkataa Mgombea wa CCM Ataja kikwete kuvuruga mchakato, asema Utaratibu ulivunjwa, ataka wagombea wawe wengi siyo mmoja.

2. Asema SERIKALI ya Samia ni Kama Nyumba ambayo haina mwenyewe hakuna mwenye kauli ya kimamlaka.

3. Asema ndugai alimuonya kuhusu shule ya uongozi na kusema asipoacha atauwawa!

4. Asema kwamba Hata Magufuli alitoka nje kupigiwa kura upya

5. SERIKALI ya Samia kumejaa wahuni wanaomzunguka Ndo sababu ya kwanza kujiuzulu ili awe huru kusema

6. Wazee kwenye colido wanamkataa Samia Ila kwenye vikao wanakaa kimya

#KataaWahuni
Tanzania mpya yaja n suala la mda
 
usichoelewa nini
sheria ni kuwa mgombea awe nje mchakato ukiendelea
yeye SAMIA alikataa kutoka nje
ndio mana polepile akasema kuwa hata magufuri alitoka nje kuonesha kuwa mchakata haukuenda kulingana na sheria waliojiwekea CHAMA
Magufuli alikuwa akifanyia vikao vya CCM Ikulu, huu utaratibu nao vipi? Mbona hakuwahi kuuzungumzia?
 
Back
Top Bottom