Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Muhongo: Mimi Bado Waziri!

wachagaaa kwa pesaa ni hatari mengi unataka gesi kwa ngumvu kama ulivo chukuwa tanzanait.
 
lakini mungu huyuhuyu yupo usifikiri hawaoni.mnataka gesi .mengi .na mkono afya zenyewe za mgogoro.yetu macho
 
Sasa jk hamwambiii atakachokifanya yeye anachagua waziri mwingine tuone kama huyo atabaki wapi na gari ananyanganywa sasa
 
Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa Bungeni. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi...

Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba Bunge limemvua madaraka ya uwaziri

Anajua kwanini anasema hivyo tena kwa kujiamini mno
 
Kikwete amesema hawezi kumwajibisha muhongo wakati.uchaguzi ni mwakani tu
 
Huyu waziri Ni fa.la Tu Kama yalivyo ma.---- mengibe kwenye Chama cha majambazi ccm
 
It's just matter of days kibri chote kitakwisha, Tanzania ilikuwepo na itaendelea kuwepo bila yeye.
 
Rais hawezi kumtimua mtu ambaye alimwachusha shughuli zake na kumuingiza kwenye mkenge wa kisiasa. Amini usiamini. Muhongo ataendelea kuchapa kazi kwa maendeleo ya Watanzania

Kama rais atafanya hivyo unavyosema atakuwa amejiingiza kwenye mgogoro mkubwa si na bunge tu bali na chama chake. Kumbuka maazimio ya bunge yamefikiwa baada ya pia kuhusisha vyama na serikali, ndiyo wakina Wassira na Pinda walitoa msimamo wa chama na serikali yao. Nini kitatokea kama rais atakaidi? ni rahisi tu kwenye bunge la januari au litakalofuata wanaungana kumkataa Pinda na hivyo serikali yote inavunjika, sasa kipi bora hapo??
 
Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa Bungeni. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi...

Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba Bunge limemvua madaraka ya uwaziri

Kiukweli sio halali
 
Kabla ya kumuondoa muhongo raisi atuhakikishie mambo yafuatayo;
1.Wale matajiri wa kitanzania wanaomiliki maeneo makubwa ya madini wananyang'anywa na kurudishwa stamico.
 
Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa Bungeni. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi...

Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba Bunge limemvua madaraka ya uwaziri

Mwacheni kurukaruka kwa Maharage ndio kuiva kwake, mwacheni aendelee kurukaruka tu, maharage yakishaiva yanatulia
 
Napendekeza kuwe na JF classes; 1, 2. 3, 4 and 5, ili kila wahusika wa class fulani wachangie kwenye daraja lao. Vigezo viainishwe kutambua na ku-classify haya madaraja. Kuna watu humu, kwa mujibu wa argumentations katika mihango yao, ni dhahiri kuwa ni kiwango cha daraja la 5 lakini wanachangia katika hoja za daraja la kwanza, hivyo kufanya uchafuzi.

Pendekezo husika la Bunge linasema ‘mamlaka ya uteuzi husika zishauriwe kuwajibisha wahusika.....’ wakati mamlaka hiyo bado hijashauriwa, ili ikubaliane au ikatae ushauri, wachangiaji JF daraja la 5 wanatangaza fulani amefukuzwa kazi ya uwaziri; amefukuzwa na nani?

JF daraja la 1 wanafahamu kuwa Prof. Muhongo bado ni Waziri wa Nishati na Madini kwa mujibu wa sheria za nchi.

Hata hivyo, sidhani iwapo mamlaka husika itakubaliana (soma give in) na shinikizo/ghiriba za akina Mengi & Co.
 
Hakuna mtu mpumbavu kiasi hicho. Kwamba umeambiwa profe. ni mwizi anatakiwa ashtakiwe ww useme sio kweli ni waziri wangu.
 
Ni kwel rais ndio alimteua lakin Amesahau ili awe waziri bunge ndio lilimu-approve akawa waziri, sasa limesha mu-disapprove haelewi ndo kwishney. Ha ha ha akili za mbayuwayu.
 
Yeyote aliyecheza na Dr. Regnald Mengi mtu wa watu, mtetezi wa wanyonge nguvu ya umma haikumuacha salama.
Akawaulize wakina Wilson Masilingi na wenzake....
 
Ha ha ha ha ha ha ha........Jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni Rais tu na siyo wahuni wa Bungeni. Hawezi kubabaishwa na Wahuni na Wala Rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale Rais atakaposema basi...

Hapa Dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba Bunge limemvua madaraka ya uwaziri

Ma professor wa Kichina na wa ukweli wote akili moja kwa sababu ya kuwa Mwafrika. Muhongo ni msomi ambaye I thought ana amini katika kuwajibika , kumbe bure ni mchumia tumbo tu .Alitakiwa hadi sasa awe amejiuzuru ndiyo heshima pekee , hata kama katuhumiwa . Kweli Miafrika sisi ni shida kubwa .
 
Back
Top Bottom