Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Kwa hyo waziri hawajibiki kwa bunge? Iweje wakati wa oparesheni tokomeza mawaziri waliwajibika kwa bunge bila kusubiri uamuzi wa mamlaka ya uteuzi wao? Au hizi sheria zikoje? Tundu Lissu nisaidie kwa hili tafadhari mimi ni bush lawyer kama makinda

Mi nilijua peke yangu!
Yaani nataka bado kuelewa kuhusu hili
 
Bunge halina mamlaka ya kumuondoa waziri wa kawaida isipokuwa waziri mkuu.muhongo anaposema bado ni waziri yuko sahihi.akina kagasheki walijiuzuru kwa agizo la rais kwa njia ya simu alipomuagiza pinda atoe taarifa bungeni.kwa kuwa muhongo hataki kujiuzulu atabaki waziri hadi rais amtimue.

Ok
Bora ww umenifafanulia
 
Kwa kuwa Pinda yu salama..Pinda ndiye atakayejitahidi kuhakikisha Muhongo na wenzake wanaondoka ili mwezi January arudi Bungeni akiwa shujaa kwa kutekeleza maagizo ya Bunge na hivyo kuondoa kiwingu hiki "kwenye ile safari yake ya kimyakimya kwenda ikulu"

Kwenye hili JK atachagua kama aendelee na Muhongo bila Pinda au Pinda bila Muhongo.

Nakubaliana na ww
 
Naona watu mna imani sana serikali ya JK kiasi cha kufurahia "muafaka" wa jana. Hamtaki hata kujiuliza jeuri ya Muhongo imetoka wapi? Tusubiri kwanza tuone kama kweli JK atawapiga chini hao "wabaya wetu". Kwangu mimi, kilichotokea jana ni muafaka (compromise) wa kuzima moto usiwafikie wahusika wakuu halisi.

Huwezi kuwa na skandali ya kiwango hiki ukawatenga Rais na Waziri Mkuu kama wao ndio "clean elements" serikalini. Angalia tu juhudi za kuponda suala zima zilivyokuwa kabla. Kisha angalia ni akina nani hasa waliokuwa wakikenua baada ya "muafaka" kusomwa na ZZK. Hapan shaka huu ulikuwa ni muafaka wa kulinda mijizi mikuu. Akina Muhongo na vikelele vyao vya ulimbukeni si lolote.

Sasa tuone kwanza kama hao "washamba" watawajibishwa na JK. Kikubwa zaidi, mshiko waliochoteana utarudishwa? Na zaidiye, tutaendelea kuwa-gerentii uongozi mwakani waendelee kutuchezea?
 
Yeyote aliyecheza na Dr. Regnald Mengi mtu wa watu, mtetezi wa wanyonge nguvu ya umma haikumuacha salama.
Akawaulize wakina Wilson Masilingi na wenzake....

Hakuna Popote pale duniani bepari amepata kutetea wanyonge, mtetezi wa wanyonge huwa hatajiriki, Mengi anatetea maslahi yake, migodi anayomiliki na Vitalu anavyotamani, thats it, amkeni Wabongo
 
Napendekeza kuwe na JF classes; 1, 2. 3, 4 and 5, ili kila wahusika wa class fulani wachangie kwenye daraja lao. Vigezo viainishwe kutambua na ku-classify haya madaraja. Kuna watu humu, kwa mujibu wa argumentations katika mihango yao, ni dhahiri kuwa ni kiwango cha daraja la 5 lakini wanachangia katika hoja za daraja la kwanza, hivyo kufanya uchafuzi.

Pendekezo husika la Bunge linasema ‘mamlaka ya uteuzi husika zishauriwe kuwajibisha wahusika.....’ wakati mamlaka hiyo bado hijashauriwa, ili ikubaliane au ikatae ushauri, wachangiaji JF daraja la 5 wanatangaza fulani amefukuzwa kazi ya uwaziri; amefukuzwa na nani?

JF daraja la 1 wanafahamu kuwa Prof. Muhongo bado ni Waziri wa Nishati na Madini kwa mujibu wa sheria za nchi.

Hata hivyo, sidhani iwapo mamlaka husika itakubaliana (soma give in) na shinikizo/ghiriba za akina Mengi & Co.

We utakuwa na tabia za kishoga mengi katokea wapi huku ukisikia muhongo ujuwe muongo kweli na ukisikia kubwa jinga ujuwe kubwa jinga kweli !!
 
Hakuna Popote pale duniani bepari amepata kutetea wanyonge, mtetezi wa wanyonge huwa hatajiriki, Mengi anatetea maslahi yake, migodi anayomiliki na Vitalu anavyotamani, thats it, amkeni Wabongo

Mengi asiisogelee kabisa gesi. Mengi ni bepari.mbinafsi, mnyonyaji wa Taifa
 
Hakuna Popote pale duniani bepari amepata kutetea wanyonge, mtetezi wa wanyonge huwa hatajiriki, Mengi anatetea maslahi yake, migodi anayomiliki na Vitalu anavyotamani, thats it, amkeni Wabongo

Kwaiyo unataka kutuaminisha uwongo wa professor muongo enzi hizo siyo kipindi hiki kubeba ma file mengi siku hizi ni bwebwe mkumbushe professor muongo pindi mtakapo kuwa mnapata vinywaji vinavyo wafanya muwe waongo
 
Mengi asiisogelee kabisa gesi. Mengi ni bepari.mbinafsi, mnyonyaji wa Taifa

Kamata frusa siyo kukamata uwongo kama professor wenu mengi anakamata frusa kama mtanzania mwingine acha wivu wa kike alafu laki si pesa tabia zako za kucheza taarabu ukiwa uchi ulisha acha
 
Kamati haijamtaja sehemu yoyote ile
Kuwa amepewa mgao wa fedha zaidi ya kutakiwa kuwajibika kwa kuwa anasimamia sekta husika. Naamini
Kina zitto walisaka sana jina lake kwenye mgao wa hela wakakosa hahahaha! Wakaona waseme ye dalali yes ni dalali coz wazir gani asiyekutana na wawekezaji kwenye sekta yake mlitaka huyo seth aende akakutane na wizara ya jinsia na watoto? Eti alikutana naye kwenye ofisi ya umma! Sasa mlitaka akakutane naye hotelini! Wabongo wakiamua kukutafuta hata kama huna kosa watakumaliza tu! Ushauri wangu kwa MUhongo, nenda kafanye kazi huko walikokuwa wanakuthamini na kukupa tuzo kutambu mchango wako achana na wabongo tumejaa fitna na chuki!
 
jamaa kachanganyikiwa.

Anaamini yeye bado waziri. Mwenye uwezo wa kumvua madaraka ni rais tu na siyo wahuni wa bungeni. Hawezi kubabaishwa na wahuni na wala rushwa. Yeye ni waziri na atabaki kuwa waziri hadi pale rais atakaposema basi...

Hapa dodoma watu wanamuona wazimu na hii jeuri yake ya kitoto.
Haamini kwamba bunge limemvua madaraka ya uwaziri

nikweli bado ni waziri na tibaijuka pia bado ni waziri na sioni haja ya hawa watu kuwajibishwa kwasababu hawana hatia. Pinda awafichue wahusika na sio kutoana kafara
 
We utakuwa na tabia za kishoga mengi katokea wapi huku ukisikia muhongo ujuwe muongo kweli na ukisikia kubwa jinga ujuwe kubwa jinga kweli !!

hope moderator helps putting you to your rightful category; 5.
 
Hv le profesa muongo kwa nini unang'ang'ania sana hiyo wizara kwani weh ndo wa kwanza
kwani kwako hapo?
Si utokeee....!!
Kujitia aibu tuu unazidi kudharaulika maana unakoelekea sikoo
 
Kamati haijamtaja sehemu yoyote ile
Kuwa amepewa mgao wa fedha zaidi ya kutakiwa kuwajibika kwa kuwa anasimamia sekta husika. Naamini
Kina zitto walisaka sana jina lake kwenye mgao wa hela wakakosa hahahaha! Wakaona waseme ye dalali yes ni dalali coz wazir gani asiyekutana na wawekezaji kwenye sekta yake mlitaka huyo seth aende akakutane na wizara ya jinsia na watoto? Eti alikutana naye kwenye ofisi ya umma! Sasa mlitaka akakutane naye hotelini! Wabongo wakiamua kukutafuta hata kama huna kosa watakumaliza tu! Ushauri wangu kwa MUhongo, nenda kafanye kazi huko walikokuwa wanakuthamini na kukupa tuzo kutambu mchango wako achana na wabongo tumejaa fitna na chuki!

Unaleta utetezi wewe ni nani? Unadhani Muhongo hajui ameponzwa na nani? Na si aliambiwa na ndugu na marafiki hata kabla ya kuteuliwa asifanye kosa la kukubali kupewa wizara ya Nishati?
 
Nafikiri hapa juisi na matunda vinahusika kurefresh mind akae sawa
 
Laki si pesa na Lizaboni...mmesimama wapi kwenye hili? Coz tangu hili sakata la escrow limeanza mmekua mnapinga kila kitu, kwanza mlikua mnasema halitajadiliwa, Leo mnasema raisi hatafanya chochote, baada ya kumsikiliza Hawa Ghasia jana nimepata hisia kuwa mmoja kati yenu ndio Hawa Ghasia
 
Back
Top Bottom