Mengi naye siyo mtu wa maana sana. Tusimkopeshe ili mkikutana mwambieni. Ni mkabila munoooo! Yeye anaamini anaunda makampuni kwa ajili ya wachaga tu. Sabotage za kikabila kwa makampuni mengine. Eti Moshi hakuna maji ya Uhai, soda za pepsi, nk. Inatusaidia nini sisi makabila mengine? Mbona bidhaa zake zinauzwa mikoa minginea?
asitake kujiona yeye ndo kila kitu!
Mwacheni kurukaruka kwa Maharage ndio kuiva kwake, mwacheni aendelee kurukaruka tu, maharage yakishaiva yanatulia[/QUO. Kabisa mkuu
Ni heri anayekula akakumbuka wanyonge japo kwa kuwaangushia makombo ya mezani kuliko Wanaojidai ni wasomi, wanasiasa,matajiri maarufu wezi wanaoiba pesa za walalahoi tena kwa kutumia mifuko ya rambo na viroba mchana kweupe bila hata haya usoni!!!!!.....Hakuna Popote pale duniani bepari amepata kutetea wanyonge, mtetezi wa wanyonge huwa hatajiriki, Mengi anatetea maslahi yake, migodi anayomiliki na Vitalu anavyotamani, thats it, amkeni Wabongo
Huyo atakuwa alimshawishi Dr. Mengi amle jicho alipokataa ndiyo bifu lisilo na kichwa wala miguu lilipoanza....We utakuwa na tabia za kishoga mengi katokea wapi huku ukisikia muhongo ujuwe muongo kweli na ukisikia kubwa jinga ujuwe kubwa jinga kweli !!
Mwacheni kurukaruka kwa Maharage ndio kuiva kwake, mwacheni aendelee kurukaruka tu, maharage yakishaiva yanatulia[/QUO. Kabisa mkuu
Acheni majungu yenu,muwacheni Prof .muhongo afanye kazi
Acheni majungu yenu,muwacheni Prof .muhongo afanye kaziDate : 6th November 2014
Posts : 44
Rep Power : 312
Likes Received4
Likes Given2