Uongozi na maadili bado ni kitu kingine kabisa.
Uprofesa ni ualimu na kufanya tafiti nyingi zinazokubalika katika somo lako au around somo lako na kusimamia wanafunzi wake ki-academic.
Halafu baada ya muda maprofesa wenzio wanakaa kikao maalumu kwa ajili ya mtu kupewa uprofesa usu au uprofesa kamili.
Uadilifuuuuuuuuu.............siyo uprofesa.
Uadilifu ni sehemu ya criteria ya promotion .....please!
Na siyo ma profesor wanaopandusha wenzao ni baraza la chuo baada ya kupitishwa na vikao husika katika chuo!