Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Muhongo: Mimi Bado Waziri!

Kama Muhongo atavuliwa uwaziri na kama katiba pendekezwa ikipita,basi Muhongo atakuwa kakosa kote maana katiba itamzuia kurudi kufundisha na cdhani kama anaweza pata ubunge kwa kugombea.
 
TZ hatuna maprof. bali tunao vichaa kama maprofesa ni uprofesa wao kama wa yule wa gazeti la sani ambaye ni prof. ndumilakuwili huwezi kuwa prof. ukashindana kwa hoja na drs la saba na wakakushinda huyo siyo wazir na president karudi J3 Hana chake zamu yake kuuza juisi.
 
Muhongo atabaki kuwa waziri, ndio ukweli huo!

Tatizo la kidumu nikujifanya miungu watu, sasa aibu mliyoipata mjengoni naona haijatosha baado Kwa wananchi... Kushindana nampango wa Mungu lazima utashindwa tu... Delete ccm inazidi kwenda vizuri sana
 
Nimewaelewa ze comedy na section yao inayoitwa Le Professor!
 
Alitaka kushindana na nguvu ya pesa sasa anakiona cha mtema kuni. Akitolewa tu utasikia Mengi kamegewa kipande cha gesi


Mengi naye siyo mtu wa maana sana. Tusimkopeshe ili mkikutana mwambieni. Ni mkabila munoooo! Yeye anaamini anaunda makampuni kwa ajili ya wachaga tu. Sabotage za kikabila kwa makampuni mengine. Eti Moshi hakuna maji ya Uhai, soda za pepsi, nk. Inatusaidia nini sisi makabila mengine? Mbona bidhaa zake zinauzwa mikoa minginea?

asitake kujiona yeye ndo kila kitu!
 
Uongozi na maadili bado ni kitu kingine kabisa.

Uprofesa ni ualimu na kufanya tafiti nyingi zinazokubalika katika somo lako au around somo lako na kusimamia wanafunzi wake ki-academic.
Halafu baada ya muda maprofesa wenzio wanakaa kikao maalumu kwa ajili ya mtu kupewa uprofesa usu au uprofesa kamili.

Uadilifuuuuuuuuu.............siyo uprofesa.

Mkuu Tundapori, wengi bado wako gizani kuhusu ujumbe wako. Nimekuelewa! Big Up.
 
Last edited by a moderator:
Haya maamuzi ya Bunge ni majivu ya macho, sidhani Wahisani yatawatosha. Zile US$ 460 m wanazozizuia kamwe hazitolewi. Katika wiki mbili majizi ya CCM yataanza kukodoa macho kama mjusi aliyebanwa na mlango huku thamani ya shilingi ikiporomoka.
Wacheza tuu hawaaaa.
 
Kwani aliingiaje?!.....................
ndivyo atakavyotoka.
 
Nyinyi watanzania mtaendelea kuwa wajinga sana,sasa kila mmoja anajua pesa ndo imetumiwa kuwaondoa hawa watu alafu mnashabikia wakati huohuo mnataka waje watu wasafi,watatoka wapi na wakati pesa ndo inatumika? na ukishatumia pesa unawezaje kutengeneza mfumo wa haki katika utawala? anyway,leo mnamshabikia Mengi kamtoa Mhongo lakini siku si nyingi mtayaona mda ukifika ..ni fitina,chuki,unafiki,ghiriba dhidi ya watu

wewe nawe una chuki za ukabila ndio katoka sasa, alitumia mamlaka kuwakwamisha wenzake yeye tunamwondoa kwa pesa jinga sana yule mwehu
 
Ni kweli.....Rais ameshauriwa na anaweza kukubali au kukataa

Mge Tunaambiwa kuwa cheo ni dhamana. Sasa kama wa TZ unaowatumikia hawana imani na wewe, huo ujasiri wa kuendelea kukalia hiyo ofisi unatoka wapi kama si maslahi binafsi??
Kumbuka Mzee Mwinyi aliwahi kusema tena siku si nyingi. Kuwa mke wa mfalme hapashwi hata kusingiziwa achilia mbali kutuhumiwa. Tunataka viongozi wa aina hiyo sasa

Wananchi tumechoka na story za ubadhilifu kila iitwapo leo.
 
kwani kuna kitu gani nyuma yake kinampa jeuri ya kujiona The Don wa nchi hii
maana hi jeuri yake?
 
msisahau huyu anategemewa afrika na rais alimchomoa huko ndiyo asili ya jeuri yake but hata kagasheki alichomolewa mahali
 
ukoo wa kibri huyu ana ashk mahjunun na uwaziri
 
Mimi siafiki ...Prof Muhongo ni jembe hizo ni njama za wenye kutaka kuingia ktk gas secta kumagumashi....pia vita ya uraisi....
 
Muhongo atajiita waziri mstaafu (rtd) hata atakapotolewa kwenye uwaziri
 
Back
Top Bottom