Muhongo: Mengi anamiliki ardhi yenye ukubwa sawa na mji wa Moshi mara 80

Huyu prof anafikiri irrationally and negatively all the time! Niliwahi kuandika humu kuwa arudi chuo kufundisha ili awakamate wanafunzi wake kwani ndo furaha yao! Siasa na uongozi hasa uwaziri ni mzigo mzito mno kwake. Umeme alioahidi utakuwepo imekuwa ndoto kwetu na gesi yetu kawapa wachina na sasa anagombana na Mengi.!?
Huo muda anaopoteza kutafuta data za Mengi kwanini asiutumie kufanya tafiti zenye manufaa kwa taifa? Au keshachukua 10% kwa wachina so, anahamisha mawazo yetu kwenye mambo ya uwekezaji ili auze vitalu haraka?
Kiukweli mawazo na maoni ya Mengi ni ya msingi sana katika nyakati hizi. Tupewe rasilimali zetu tumiliki wenyewe jamani. Sio fulana na t-shirt za wagombea wa ccm tunazohitaji!!!!!
Mhongo should've to think wide acha longolongo na Mengi!!!!!
 
Wadau, nimemsikia na kumuona ktk Tv Prof akizungumzia hilo suala, lkn sikumueklewa na sikuwa na interest ya kufuatilia alichozungumza.

Nawauliza Wadau; Prof Muhongo alipotaja ukubwa wa ardhi anayomiliki Mengi, alikuwa akijibu swali au kuchangia hoja za Wabunge? Sioni mantiki ya kumzungumzia Mengi Bungeni wakati hayumo humo na hawezi kumjibu. Sijui Mengi naye kesho akiibuka na kuitisha Mkutano na Wana habari watafikishana wapi.
 
Mengi anamiliki eneo la ukubwa wa Africa nzima, but liko ndani ya Tanzania!!
 
Huyo Profesa ni mjinga...kwa sheria ya ardhi hakuna Mtu anayemiliki ardhi Tanzania
...sote tumepangishwa na serikali.

kama Muhongo/muongo anaona kuwa Mengi kakodiswa ardhi kubwa kwaninj wa serikali waliomkodisha wasimnyang'anye hiyo ardhi......kumbe kina maprofesa wajinga !?

Prof Muongo na Prof Kapuya ni majanga ya kitaifa! !
 
mnatetea ujinga na ampendi kuambiwa ukweli

Nani anaetetea ujinga hapa kama sio wewe?hivi Ndugu Mengi kumiliki ardhi kiasi hicho alichokitaja huyo Prof UCHWARA kuna uhusiano gani wa kukosekana kwa Umeme wa uhakika tangu tupate uhuru mpaka sasa wakati tuna vyanzo kibao vya hii nishati ya Umeme?hivi Mengi kumiliki ardhi kiasi hicho ndio chanzo cha Sekta ya Kilimo kupooza?hivi Mengi kumiliki ardhi kiasi hicho ndio sababu ya Sekta za Elimu na Afya kuwa taabani kiasi hichi na pia Mengi kumiliki ardhi kiasi hicho ndio chanzo cha Maisha magumu kwa Watanzania wa kawaida ambapo Mtu anaishi pasipo kuifahamu kesho itakuaje,heri ya jana?

Hivi huyu Prof UCHWARA anataka kutuambia kuwa katika Nchi hii ni Mengi tuu ndio ana umiliki wa ardhi ulio mkubwa kuliko Raia yeyote wa Nchi hii?mbona hataji Maelfu na Malaki ya Heka za ardhi wanazomiliki Magamba wenzake kama wakina Lowasa,Sumaye,Kikwete,Makamba,Mramba nk.
 
Mengi ni mzalendo wa kweli jamani,ni mtanzania ambaye hakika anajitahidi sana kugawa ajira kwa wazaza,nilikuwa namsikiliza huyo prof. i wish mengi ndo angekuwa namba moja badala ya yule mhindi mtz,amiliki tu hata eneo la moshi mara mia sita.
 
Nashukuru hata mimi nimesikia na kuona wakati akieleza.
Tofauti yangu na waziri Prof Molongo ni jinsi anavyomchukulia Reginard Mengi. Licha ya kwamba yeye ni Professor lakini nadhani bado hajaelimika. Msimamo wa Mengi na TPSF si kumwezesha Mengi kama Mengi kumiliki raslimali za nchi. Hoja ya Mengi na TPSF ni kuwawezesha na kuwapendelea wazawa katika umiliki wa raslimali za nchi zao. Mzawa si Mengi peke yake wala yeye hajasema apewe yeye na wengine waachwe. Hilo ndo jambo la waziri kuelewa. Asigeuze mapambano hayo kwa mtu binafsi 'Mengi'. Mengi anatuzungumzia wazawa wote hata kama yeye akifanyiwa zengwe basi mimi nipate ndo kilio cha Mengi, TPSF na wadau wengine Duniani kote wazawa huwa na credit zaidi kuliko watu wa nje kwenye suala la uwekezaji kwe raslimali za nchi yoyote ile. Kutaja size ya maeneo wanayomiliki bado haiondoi dhana ya wazawa kumiliki raslimali za nchi yao. Serikali inachotakiwa kujua ni kukusanya kodi. Sasa kama mtu anachukua na hafanyii kazi nyie chukueni kodi tu kwa assumption kuwa anazalisha bila kuangalia kuwa ameifadhi eneo bila kutumia. Simple as that. Mulongo alikuwa SA nilitegemea walau amejifunza kitu jinsi serikali ya SA inavyojali wazawa linapokuja suala la wawekezaji. Waziri angetueleza hayo maeneo aliyoataja kuwa hayatuimiki ipasavyo yamekaliwa tu na anaowaita wazawa je anakusanya kodi. Kama hapana kwanini? Naweza kuchukua fremu kwa mwenye fremu nisiitumie lakini kama nalipa pango lake hutamsikia analalamika. Ila baada ya muda piga fine kwa kukosesha watu ajira. Si kugeneralise kuwa wazawa hawana uwezo au hawatumii fursa wanazopewa. Au wanyang'anywe wape wengine.

Uliyoyaandika si sahihi. Nilimsikia Mengi kwenye mdahalo wa UDSM na alilotaka Mengi ni kuwa apewe 35% ya umiliki wa kitalu kitachofanyiwa exploration na halafu yeye aende kutafuta wawekezaji halafu agawane nao hiyo 35%.

Alichojibiwa na Muhongo siku hiyo ni kuwa "yeyote anaeona anaweza kuwekeza kwenye vitalu vya exploration" aende TPDC Jumanne akapewe kama anatimiza masharti". Na hapohapo Muhongo akamuagiza Manager wa TPDC kuwa afanye hivyo bola kuita siku ya Jumanne na Mtanzania yeyote anaetimiza masharti apewe.

Jee, Mengi anaweza kutimiza hayo masharti? kama jibu ni ndio alikwenda?
 
yani huyu profesa ni fa.la sana,Rasilimali za TZ ni mali ya watanzania na sio mali ya wageni kama anavyotaka yeye.Ni lazima ziwekwe sera zinazompa priority mtanzania.mtaji ni hiyo hiyo gesi na madini yetu.PROFESA ASIJIFANYE CHIZI,HAMA VIPI AONDOKE CHEO NI DHAMANA SIO MALI YAKE PALE.
 
Prof MUhongo ni janga anaendeleza sera za CCM chuki kwa wachaga kuna Mhindi anaeneo Kama Nchi ya Ufaransa unganisha na ujerumani huyo sio kitu kwake ila hasira zake ni kwa Mengi halafu anakejeli wabunge waliomuuliza kutaka kupata ufafanuzi huyu ni waziri mpuuzi kuliko wote ana matusi makubwa kwa wananchi kuna siku atashangaa atakavyoigharimu serikali yake kwa kiburi alichonacho eti scientist wakati hajaagundua chochote chini ya jua cha kugeuza dunia hii
 
Uliyoyaandika si sahihi. Nilimsikia Mengi kwenye mdahalo wa UDSM na alilotaka Mengi ni kuwa apewe 35% ya umiliki wa kitalu kitachofanyiwa exploration na halafu yeye aende kutafuta wawekezaji halafu agawane nao hiyo 35%.

Alichojibiwa na Muhongo siku hiyo ni kuwa "yeyote anaeona anaweza kuwekeza kwenye vitalu vya exploration" aende TPDC Jumanne akapewe kama anatimiza masharti". Na hapohapo Muhongo akamuagiza Manager wa TPDC kuwa afanye hivyo bola kuita siku ya Jumanne na Mtanzania yeyote anaetimiza masharti apewe.

Jee, Mengi anaweza kutimiza hayo masharti? kama jibu ni ndio alikwenda?

Prof muhongo pamoja na shahada zake bado ni kilaza kifikra na kimaono. Elimu yake badala ya kumkomboa kifikra ndio kwanza imempofua... Baba na mababu zetu walipigania na kupata Ukombozi wa kisiasa...wananchi wenye upeo na uzalendo hivi sasa wanapigania ukombozi wa kiuchumi.

Kama tungependa kuzingatia fikra za prof muhongo za kitumwa na za kudharau wananchi wazawa na kukumbatia wageni, angesema kabisa kuwa hakuna mzawa mwenye uwezo wa kuongoza nchi...tutafute viongozi wa nje watutawale kwa mtindo wa uwekezaji hadi tutakapojiweza...shame.

Nawe faizafox umedata km prof wako . Mdahalo niliufuatilia na mengi akuwahi kuda i apewe yeye binafsi umiliki wa 35% ya kitalu kilichofanyiwa exploration... Alcohol is is it is a no kuwa katika uwekezaji serikali izichukulie raslimali za nchi kuwa no MTAJI wake wakati wa kuingia ubia, badala ya kuimba ngojeraa kuwa nchi na wananchi wake in makapuku wa mitaji na teknolojia, kwa hiyo hatujiwezi.

Na kwa upumbavu wako unaona ni saw a kwa prof wako kutoa siku moja kwa mzawa kutimiza masharti ya kununua kitalu TPDC wakati wawekezaji wa nje wamepewa hadi May mwakani?
Mungu ibariki Tanzania kwa kutupunguzia watu wenye husda, wachumia matumbo yao na wenye macho yanayoona hadi vinapoishia vitovu vyao tu.
 
Nashukuru hata mimi nimesikia na kuona wakati akieleza.

Tofauti yangu na waziri Prof Molongo ni jinsi anavyomchukulia Reginard Mengi. Licha ya kwamba yeye ni Professor lakini nadhani bado hajaelimika. Msimamo wa Mengi na TPSF si kumwezesha Mengi kama Mengi kumiliki raslimali za nchi. Hoja ya Mengi na TPSF ni kuwawezesha na kuwapendelea wazawa katika umiliki wa raslimali za nchi zao. Mzawa si Mengi peke yake wala yeye hajasema apewe yeye na wengine waachwe. Hilo ndo jambo la waziri kuelewa. Asigeuze mapambano hayo kwa mtu binafsi 'Mengi'.

Mengi anatuzungumzia wazawa wote hata kama yeye akifanyiwa zengwe basi mimi nipate ndo kilio cha Mengi, TPSF na wadau wengine Duniani kote wazawa huwa na credit zaidi kuliko watu wa nje kwenye suala la uwekezaji kwe raslimali za nchi yoyote ile. Kutaja size ya maeneo wanayomiliki bado haiondoi dhana ya wazawa kumiliki raslimali za nchi yao. Serikali inachotakiwa kujua ni kukusanya kodi. Sasa kama mtu anachukua na hafanyii kazi nyie chukueni kodi tu kwa assumption kuwa anazalisha bila kuangalia kuwa ameifadhi eneo bila kutumia. Simple as that.

Mulongo alikuwa SA nilitegemea walau amejifunza kitu jinsi serikali ya SA inavyojali wazawa linapokuja suala la wawekezaji. Waziri angetueleza hayo maeneo aliyoataja kuwa hayatuimiki ipasavyo yamekaliwa tu na anaowaita wazawa je anakusanya kodi. Kama hapana kwanini? Naweza kuchukua fremu kwa mwenye fremu nisiitumie lakini kama nalipa pango lake hutamsikia analalamika. Ila baada ya muda piga fine kwa kukosesha watu ajira. Si kugeneralise kuwa wazawa hawana uwezo au hawatumii fursa wanazopewa. Au wanyang'anywe wape wengine.
Anachosema muhongo tunahitaji wawekezaji kwenye gesi na mafuta sio walanguzi. Sijui kitu gani hakieleweki!
 
Badala ya kusifia wazawa kuinvest nyumbani yeye anawalalamikia na kuwakumbatia foreign investors
ni kutojua tu.hao foreigners hawaji na briefcase za pesa ni pesa hizohizo za financial institutions ambazo hata mzawa angezipata akiwa na mipango mizuri
kibaya zaidi hao anaowataka hawalipi kodi na hukimbiza pato lote nje na kunyanyasa wazawa
jiulizeni huko arabuni wenye mafuta ni wageni?
Mifano tunayo ya migodi ya dhahabu kufikia 2035 itakuwa imefungwa yote wakati hatujanufaika tunabaki na mashimo na njaa wakati jamaa wataishia na fedha walizogenerate
 
Back
Top Bottom