Haya sio maneno yangu bali ni maneno aliyoyatoa Waziri wa nishati na madini muda mfupi uliopita bungeni mjini Dodoma.Hivyo amewataka Watanzania wasilalamike kuwa hawapewi fursa za uwekezaji..
huyu prof nshaanza kuwa na mashaka naye hivi kumbe ukisoma sana nayo shida tu, yeye ameng!ang!ana na mengi, hajaelewa hoja ya mengi nini? huyu naye kumbe niwakurudi darasani tena