Muhimu: Kulinda ajira za wazawa Tanzania...

Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!

Kadhambi ka ubaguzi kanakutafuna neno wazawa Mwalimu alilikataa na kuwaita wazawa ni makaburu tu, na aliapa hawezi kuwachekea makaburu hapa Tanzania eti kisa ni weusi kaburu ni kaburu tu!
 
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!

Nape,

Unaweza kufafanua una maana gani unaposema manyanyaso ya wageni dhidi ya wazawa? Nina wasi wasi sana na hiyo kauli kwani inaweza kujenga mbegu za chuki juu ya wageni. Ni muhimu kwa mtu mwenye nafasi kama yako kuchunga kauli zako. Anyway, inawezekana kuna mtu kaiba password yako.
 
Nimei withdraw Kamanda

Hana jipya Kasahau kabisa maneno ya Mwalimu kuhusu wazawa! Nchi hii hakuna wazawa kuna watanzania.
Wazawa watachoma nyumba za wahindi halafu watajiuliza mbona za wagogo hatuchomi kawa nini?
 
Nakushanga sanaaa, sheria inasema wageni wasizidi 5 katika kampun husika na HR/ CA Wawe wazawa kamasijakose lakini nenda kwenye mashirik/kampun ukajione na unajua sanaaa....
~ Utakuta HRO/CA ni wageni na wanaitwa majina mengine kabisa lakin kazi zao ni hiZo
~ Wakubwa wanakuja kila ijumaa kuchukua 10% zao za kufunika kombe wana haramu apite
~ Kuna sehemu mtu ana Bs. Engr na ni seniour kazini analipwa laki 450,000/ wakati mhindi wenye certificate fulani yakijinga sanaaaaaaaaaa analipwa 3,850,000/ bado unapiga kelele hapa ( na kila ijumaa katibu mkuu wa wizara ya viwanda anakuja kuchukua cheque sijui ya nini)

Mwisho jiungeni na DPP Mwinguru mjifungie msalani mjiulize kwani kuna tatizo ili then mje na majibu sio kuja hapa kutusumbua tu,

MAJIBU YA HAYA NI KUWAWEKA KANDO 2015 MUMECHOKA SANA KIFIKIRA NA KIMAWAZO.

Mkuu ni sahihi kabisa, yaani haya makampuni binafsi ni aibu na ni madudu yanayofanyika huko, unakuta kampuni ina ma-xpert zaidi ya hamsini kuna nn hapo? Na unakuta kazi wanazozifanya ni zilezile ambazo zilikuwa zinafanyika na wazawa, hii nchi hii ccm imewashinda, wawaachie na wenzao waongoze, hawana cha kutuambia hadi sasa!
 
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!
Suala hili ni tatizo kila nchi na mara nyingi uchukuliwa na wanasiasa kama agenda yao wakati wa kutafuta kura. Kwa wale waliokwisha kaa nje au wako nje watanielewa.

Bahati mbaya wanasiasa wanapoichukua ajenda hii inakuwa na chembechembe za ubaguzi. suluhisho ni kusimamia vizuri tu sharia lakini pia kufunga milango ati kwa sababu tu kazi hiyo inaweza kufanywa na mtanzania ni kujidanganya na wala haileti suluhisho sahihi. Tunatakiwa tuwawezeshe vijana wetu kwa elimu bora itakayowawezesha kushindana katika soko la ajira, wakati huo huo tukipanua wigo wa ajira kwa kuweka mazingira ya kuanzishwa na kuendeleza viwanda na miradi mingi ya sekta binafsi.

Kwa dunia ya sasa na hasa inayoendeshwa na uchumi wa sekta binafsi itakuwa ndoto kujifungia ndani. Ebu waulize Waingereza na ajira katika soko la Ulaya.
 
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!

Hivi "wazawa" ni nani? Au "wazalendo" kwa lugha ya watu wengine.

Amandla.....
 
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!

Tu discuss vitu gani sasa wakati nyie ndiyo wenye serikali, mbona mnapofungulia watu kesi za ugaidi hutuambii tudiscuss, hebu acha kutuchora kwenda kajadili na magamba wenzio huko. Unataka tukusaidie kulia au wewe ndo unataka utusaidie kulia?:A S-fire1: hiyo kitu inawawakia.
 
sio wageni tu mh...nape bali watoto wa viongozi na watoto wa wajiriwa katika idara hizo ndio wanopewa kipaumbele sana hawa wageni hakuna anawalalamikia bwana mkubwa mbona unakwepesha mambo na kati ya wanaolalamika ni mimi hapa.....
 
Nape unafiki unakusumbua. Na ukiwa mzee lazima uwe mchawi kama wasira.
 
Nakushanga sanaaa, sheria inasema wageni wasizidi 5 katika kampun husika na HR/ CA Wawe wazawa kamasijakose lakini nenda kwenye mashirik/kampun ukajione na unajua sanaaa....
~ Utakuta HRO/CA ni wageni na wanaitwa majina mengine kabisa lakin kazi zao ni hiZo
~ Wakubwa wanakuja kila ijumaa kuchukua 10% zao za kufunika kombe wana haramu apite
~ Kuna sehemu mtu ana Bs. Engr na ni seniour kazini analipwa laki 450,000/ wakati mhindi wenye certificate fulani yakijinga sanaaaaaaaaaa analipwa 3,850,000/ bado unapiga kelele hapa ( na kila ijumaa katibu mkuu wa wizara ya viwanda anakuja kuchukua cheque sijui ya nini)

Mwisho jiungeni na DPP Mwinguru mjifungie msalani mjiulize kwani kuna tatizo ili then mje na majibu sio kuja hapa kutusumbua tu,

MAJIBU YA HAYA NI KUWAWEKA KANDO 2015 MUMECHOKA SANA KIFIKIRA NA KIMAWAZO.

Ukute na kodi hakatwi
 
sio wageni tu mh...nape bali watoto wa viongozi na watoto wa wajiriwa katika idara hizo ndio wanopewa kipaumbele sana hawa wageni hakuna anawalalamikia bwana mkubwa mbona unakwepesha mambo na kati ya wanaolalamika ni mimi hapa.....

Huwa nacheka sana napoona majina yanayofanana na viongozi wetu kwa baadhi ya makampuni yetu, kiukweli na wao ni watz wana haki ya kuajiriwa popote kikubwa wawe na qualification (sijui niite wana bahati kupata huko alafu wengine tunaishia kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Mafichoni maana huku huwa hawapo kabisa na ukimwona yupo lazima atakuwa kwenye kitengo tena cha halmashauri ya jiji)
 
Ukiongea na vijana wengi sana kwenye ajira hasa za makampuni ya simu, mabenki mashirika mbalimbali nchini ni jambo la kawaida kusikia vijana wazawa wakilalamikia sana wageni na jinsi wanavyowanyanyasa wazawa hata kama elimu yao ni kubwa kuliko hao wageni kipato ni mbingu na dunia!

Nape Nnauye
Ukisikiliza kwa makini utagundua kuna kazi ambazo zingeweza kufanywa na wazawa zinafanywa na wageni. Tuangalie na kushauriana sheria za kulinda ajira zinazoweza kuchukuliwa na wazawa kama njia ya kutatua kama sio kupunguza tatizo la ajira nchini!

Nini kifanyike kukomesha manyanyaso haya ya wageni dhidi ya wazawa? Ukizingatia kwakweli wanaochapa kazi mpaka makampuni haya yakaonekana yanafanya kazi ni wazawa but kipato na manyanyaso kilio ni kikubwa sana!

sasa ndio nini umeandika hapa hii, hivi kweli Kiongozi mkubwa kama wewe tena wa UENEZI kwa maana umesomea na ndio fani yako hii na unalipwa kwa kazi hii unandika kitu hakina miguu wala kichwa?

Jifunze kwa kada wako Mchambuzi
 
Last edited by a moderator:
Mr. Nape,I would like to discuss this issue with you further. However, the main problem is with our immigration system. How do these people obtain work authorization? You don't need to lament on this. The problem can easily be solved if you have the will toBeing in the ruling party. You should advocate on behalf of these Tanzanians. It should be a law, policy and requirement that 90% of the jobs go to the natives. These corporations must prove that such skilled workers cannot be found within our borders. Bottom line, this will work better if you propose sweeping changes in our immigration system. I met a Chinese national in Zanzibar in 2009 who could barely speak English or Swahili with a Tanzanian passport. I also met another Nigerian national in one of the major global hubs with a Tanzanian passport. The Nigerian was simply a crook, bragging to be an international businessman, and could not tell me the name of Tanzanian registered company

The problem of unemployment is the most telling deficiency of our county’s development strategy; At the formal level, our leaders are very good at acknowledging the importance of the problem; At every opportunity, the determination to solve the problem is proclaimed; However, neither the acknowledgements nor the proclamations are reflected in actual policies, especially at the operational level; Since the departure of Mwalimu Nyerere and his infamous Ujamaa doctrine, I can’t think of any government’s development plan that has put the unemployment question at the centre of the development effort;

But in our context, are we talking about Youths being out of “work” or Youths being out of “employment”? Looks like our policy makers don’t know that One may work without being employed; In actual sense, it seems that policy makers treat work and employment as dichotomous; No wonder unemployment figures they produce portrays unemployment rate in the country at 11%; It is why I have argued that the problem of unemployment is the most telling deficiency on our country’s development strategy;

Before we embark into discussing about resolving the issue, I think its prudent that we first understand the types of unemployment that exist in the country;
 
Hii nchi sio masikini kwa sababu ya hivyo viajira mia vilivyoshikiliwa na wahindi... Tatizo la ajira hapa nchini ni kubwa zaidi, na hata tukisema tuwatimue wageni woote na ajira zao tuwape wazawa, sidhani kama tutakuwa tumesolve zaidi ya 0.000001% ya tatizo. Kwa hiyo kabla hatujaanza kudili na hivi vitatizo vidogo vidogo, tuanze na hili kubwa, kuwa watanzania zaidi ya milioni 10 hawana ajira!!!...
 
The problem of unemployment is the most telling deficiency of our county's development strategy; At the formal level, our leaders are very good at acknowledging the importance of the problem; At every opportunity, the determination to solve the problem is proclaimed; However, neither the acknowledgements nor the proclamations are reflected in actual policies, especially at the operational level; Since the departure of Mwalimu Nyerere and his infamous Ujamaa doctrine, I can't think of any government's development plan that has put the unemployment question at the centre of the development effort;

But in our context, are we talking about Youths being out of "work" or Youths being out of "employment"? Looks like our policy makers don't know that One may work without being employed; In actual sense, it seems that policy makers treat work and employment as dichotomous; No wonder unemployment figures they produce portrays unemployment rate in the country at 11%; It is why I have argued that the problem of unemployment is the most telling deficiency on our country's development strategy;

Before we embark into discussing about resolving the issue, I think its prudent that we first understand the types of unemployment that exist in the country;
quote_icon.png
By John Mashaka

Mr. Nape,I would like to discuss this issue with you further. However, the main problem is with our immigration system. How do these people obtain work authorization? You don't need to lament on this. The problem can easily be solved if you have the will to

Being in the ruling party. You should advocate on behalf of these Tanzanians. It should be a law, policy and requirement that 90% of the jobs go to the natives. These corporations must prove that such skilled workers cannot be found within our borders. Bottom line, this will work better if you propose sweeping changes in our immigration system.

I met a Chinese national in Zanzibar in 2009 who could barely speak English or Swahili with a Tanzanian passport. I also met another Nigerian national in one of the major global hubs with a Tanzanian passport. The Nigerian was simply a crook, bragging to be an international businessman, and could not tell me the name of Tanzanian registered company

Waheshimiwa, hii lugha mnayotumia ni ngumu mno. Watu kama Mwigulu, Nape ni mavuvuzela tu hawawezi kujibu kwa hii lugha. Vinginevyo mtamtoa nduki bure na asirudi kwenye hii thredi yake...Mwacheni mtoto wa kuli atoe mawazo yake.........
 
Kupotezeana mda tu,kwani huyu si mgeni hapa JF au alivyopanda cheo kasahau, yeye mwenyewe akuwa na ajira si ndo juzi kaajiriwa na chama
"Vox popoli vox dei"
 
Mkuu,

Nashauri jaribu kuwa unakuja na issues zisizo za vyama zaidi, sina tatizo na siasa mzifanyazo lakini nadhani taifa letu lina matatizo makubwa yanayohitaji mjadala na kutafutiwa upembuzi makini. Ninyi mkiwa mifano kwa wafuasi wenu kwa kujikita kwenye mijadala ya kufikirisha na kutafuta suluhu ya matatizo yetu basi namna mijadala inavyoendelea humu na kwenye social networks nyingine itabadilika.

Aidha, ni vema mkubali constructive criticism ili kutafuta suluhu ya matatizo ya watanzania. Suala la wazalendo kusahaulika limekuwa gumzo mara nyingi lakini hakujawa na mwitikio wa kueleweka toka kwenu wanasiasa na serikali kwa ujumla.

Hatuna tatizo na wageni kuja hapa, lakini wanapofikia kufanya kazi zinazoweza kufanywa na wazalendo au hata kufanya kazi zilezile lakini wakilipwa mara 10 ya mzalendo anayefanya kazi ileile, ni dalili ya serikali kushindwa vibaya na ni ishara kuwa watawala wanawapuuza waliowaweka madarakani (sahau kuhusu uhisani wao).

Again, mkibadilika na wananchi watabadilika!

BTW, una kauli gani juu ya suala la MADAWA YA KULEVYA? Una kauli gani juu ya Makamba kudai Lowassa ni mtu wa watu na anastahili kuongoza Taifa hili? (Haya unaweza kuja na thread tofauti nasi tutafurahi kuipata kauli yako au ya chama chenu)
Nape Nnauye unahitajika huku mkuu, unakumbuka sarakasi ya kuvua gamba?? Ona sasa mzee Makamba Katibu mstaafu wa CCM anakuja na single ya kumnadi tuliyemtuhumu kwa ufisadi wa Richmond!
BTW, Invisible, hapo kwenye RED: Mheshimiwa rais aliwhi usema anayo majina sijui atayatoa lini, kwenye BLUE: Usichezee nguvu ya pesa aisee hata ukiwa jambazi alimradi kuna wanaofaidi nothing is imposible na hii ndiyo inakuja 2015
 
Last edited by a moderator:
Ant immigrant,ant foreign workers,racism,hate politics,police brutality etc is a typical southern states hapa US...and lots of natural resources but poor to the core.
 
Back
Top Bottom