Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
I kor 15:23
msidanganyike mazungumzo mabaya uharibu tabia njema
ukiwa kama mcha mungu unaitaji kutembea na mtu sahihi
mtu anaeongea anaeishi kwa kumuheshimu mungu,marafiki wabaya uamua hatima yako ya maisha,yawezekana uko na wavuta bangi wauza maadawa uwezekano mkubwa wa kuuza madawa upo na hivyo kumaliza hatima yako ya maisha,yawezekana marafiki zako wote ni wazinzi,huusika kwenda kuchukua wanawake pale afrika sana na kwingineko,mwisho wake na wewe utaamua kwenda kubeba ile mizoga na kuishi kama yeye anavyoishi,sikuzuii uachane na rafiki zako;ila ufahamu wako ndio utakaao amua,
matendo 1:3
kiwete mmoja alikuwa anaomba pesa kwa yohana kila mara na wanamsaidia;siku alipowaona akaomba pesa akawambia leo atuna pesa tunachokupa niuponyaji wa jina la yesu amka uende
yule kiwete akaamka na kuondoka,
ukitaka kupenya katika biashara unaitaji kukaa na watu wanaojua biashara;kuna kipindi unaitaji kujitenga na watu ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ya kimungu;ukisoma mwanzo ibrahimu ilibidi aondoke amwache babake tera ndipo alipoanza kubarikiwa,
kuna watu ambao ukishikamana nao unapenya katik jina la yesu,petro alikaa na yesu akaachiliwa nguvu za yesu,dhambi ina nguvu ya kuambukiza,ukikaa na watu dhaifu unakuwa mdhaifu,ukika na wenye midomo michafu unakuwa na mdomo mchafu
msidanganyike mazungumzo mabaya uharibu tabia njema
ukiwa kama mcha mungu unaitaji kutembea na mtu sahihi
mtu anaeongea anaeishi kwa kumuheshimu mungu,marafiki wabaya uamua hatima yako ya maisha,yawezekana uko na wavuta bangi wauza maadawa uwezekano mkubwa wa kuuza madawa upo na hivyo kumaliza hatima yako ya maisha,yawezekana marafiki zako wote ni wazinzi,huusika kwenda kuchukua wanawake pale afrika sana na kwingineko,mwisho wake na wewe utaamua kwenda kubeba ile mizoga na kuishi kama yeye anavyoishi,sikuzuii uachane na rafiki zako;ila ufahamu wako ndio utakaao amua,
matendo 1:3
kiwete mmoja alikuwa anaomba pesa kwa yohana kila mara na wanamsaidia;siku alipowaona akaomba pesa akawambia leo atuna pesa tunachokupa niuponyaji wa jina la yesu amka uende
yule kiwete akaamka na kuondoka,
ukitaka kupenya katika biashara unaitaji kukaa na watu wanaojua biashara;kuna kipindi unaitaji kujitenga na watu ili uweze kufanikiwa katika maisha yako ya kimungu;ukisoma mwanzo ibrahimu ilibidi aondoke amwache babake tera ndipo alipoanza kubarikiwa,
kuna watu ambao ukishikamana nao unapenya katik jina la yesu,petro alikaa na yesu akaachiliwa nguvu za yesu,dhambi ina nguvu ya kuambukiza,ukikaa na watu dhaifu unakuwa mdhaifu,ukika na wenye midomo michafu unakuwa na mdomo mchafu