Muhammad Alimaanisha nini Kumwambia hivi Allah?

Muhammad Alimaanisha nini Kumwambia hivi Allah?

Ponjoro wa Kinondoni

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2024
Posts
2,886
Reaction score
7,929
Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo

Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema".

Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
 

Attachments

Katika kitabu hiki cha shehe MUZAFFAR AHMAD DURRANI, kuna tafsiri ya Qur an 17:81 nayo inakwenda kama ifuatavyo

Tafsiri: "Mola wangu uniingize mwingizo mwema".

Wanazuoni wa dini ya Allah hapa Muhammad alimaanisha mwingizo gani alitaka aingizwe na Allah?
Wakiristo mtapata tabu sana na uislam
 
Ponjoro wa Kinondoni
Unaijua ile Hadithi ya Kiislam inayosema kuwa inzi akianguka kwenye kinywaji, mzamishi kabisa kwa sababu bawa moja lina ugonjwa na lingine lina dawa.😎😎😎😎
Bhahahahaaa, amakweli uislamu ni kituko, kuna ile nyingine ya muhammad kuiba ngawira wakati wenzake wamemshtukia eti Allah akashusha aya usiku kusema, mtume haibi bali anachukua.
 
Huyu mleta mada ni Mgalatia aliyepakwa mafuta na Mwamposa🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom