Muhammad Ali (1942 - 2016) aliishi wakati wangu

Muhammad Ali (1942 - 2016) aliishi wakati wangu


Ahsante Kiongozi.

Marehemu alikuwa mwepesi sana.

Mayweather kasema kweli, hakuna na haitotokea kama Muhammad Ali.

Nimependa hapo Ulingoni alipokuwa na Katoto kadogo, halafu anakaachia usoni kampige ngumi, kisha Muhammad Ali anajiangusha, na kuigiza kama kazidiwa na kujilegeza hapo Ulingoni na Katoto.

Ila inasikitisha sana hapo vitani jinsi Maiti zinavyorushwa, na kubwagwa kama Magunia ya Mchele au Mahindi vile
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raajiuun.

KULLU NAFSIN DHAAIQATUL MAWTI,

WAINNAMAA TUWAFFAWNA UJUURAKUM YAWMAL QIYAAMA,

FAMAN ZUH ZIHA ANI NNARI WAUD KHILAL JANNATA FAQAD FAAZA,

WAMAL HAYAATU DUN YAA ILLA MATAAUL GHURUUR.

Allamugh Fir Lahu War Hamhu Waskinhu FiL Janna
Ameeeen
 
Hivi katika kipindi cha miaka 2016 iliyopita historia inamtambua mwanamasumbwi, mwanamuziki na msakata kabumbu yupi bora na maarufu kabisa kuwahi kutokea duniani? Je mwanamasumbwi ni Muhammad Ali, mwanamuziki ni Michael Jackson na msakata kabumbu ni Pele?

Kama ndiyo hao basi inashangaza kuona kuwa wote wameishi au wametokea katika kizazi kimoja (karne ya 20 na kuingia wote karne ya 21).
Halafu wote hao ni ngozi nyeusi. Wajinga wengine wanasema ngozi nyeusi ni laana. Ona fahari kuzaliwa Mwafrika
 
Rest in peace. Kumbe aliwahi kuja Tanzania, nimeona video yake fupi Azam tv, kama sikosei ilikuwa mwaka 1981 na alipokewa na Dk. Salim Ahmed Salim
 
Rest in peace. Kumbe aliwahi kuja Tanzania, nimeona video yake fupi Azam tv, kama sikosei ilikuwa mwaka 1981 na alipokewa na Dk. Salim Ahmed Salim
Ilikuwa 1980. Tena akiwa Dar es Salaam kuna mtanzania mmoja alicheza nae ngumi za utani pale uwanja wa ndege. Sijui huyo jamaa bado yuko hai.
 
Walimfunga jela kwa kosa la kukataa kwenda vitani, na ndipo alipojitambua kuwa mzungu sio mtu, na alibadili dini. Kitendo cha kubadili dini kiliwaumiza sana wazungu.
Alikataa kwenda vitani kwa kusema kua dini yake ya kiislamu haimruhusu kwenda kuua watu wasiokua na kosa. Inaonesha alishakua muislamu kabla ya hapo.
 
Alikataa kwenda vitani kwa kusema kua dini yake ya kiislamu haimruhusu kwenda kuua watu wasiokua na kosa. Inaonesha alishakua muislamu kabla ya hapo.

Uko sahihi Malcomlm X ndiye alikuwa mwalimu wa kwanza.

The conversion of Ali to Islam was the result of his freindship with the “The Prince” Malcolm X .

While growing up Ali developed huge anger for “ the white “ community because of the racial discrimination he and the Black community have been facing .He wanted to denounce everything that have been forced onto them by the white including their faith and the name “ Clay”,

He met Malcolm X somewhere around 1962 and was highly influenced by his teaching and belief in “Black Supremecy”.

Malcolm saw in Clay a charisma that drew people to him. He began to cultivate the friendship, partly because Malcolm hoped he could draw Clay into the Nation; the young boxer could potentially bring admirers into the fold with him, a benefit for the Nation — and for Malcolm.

ALi converted to his new faith even before winning his world championship but kept it quiet with the fear that "he will never get a shot at the championship."

So it was a very politically motivated decision because of his association with “Malcolm X”.

Written 10h agoView Upvotes
 
Rest in peace. Kumbe aliwahi kuja Tanzania, nimeona video yake fupi Azam tv, kama sikosei ilikuwa mwaka 1981 na alipokewa na Dk. Salim Ahmed Salim
Alitumwa na Carter kuja kuishawishi Tanzania na nchi nyingine alizozuru kuisusia michezo ya Olimpiki Moscow. Alijilaumu kwa nini alikubali kufanya kazi hiyo baada ya kukutaa na super diplomat Julius Nyerere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom