Muhammad Ali (1942 - 2016) aliishi wakati wangu

Muhammad Ali (1942 - 2016) aliishi wakati wangu


Pambano lake la kihistoria na George Foreman lilifanyika jijini Kinshasa nchini Zaire (Kwa sasa DRC) mwaka 1974. Mobutu aliyekuwa rais wa Zaire kipindi hicho alifanya kila lililowezekana ili pambano hilo maarufu lifanyike nchini mwake.
 
Nyerere alikataa kuonana naye.
Gaazeti la the citizens waliandika Jumapili.
When Nyerere refused to meet Ali.
Yes. I knew from the very beginning that Ali didn't meet Mwalimu while in Tanzania. Nilishangaa tu alichokuwa ameandika mdau kwamba Ali alikutana na Mwalimu Nyerere.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom