nabiidaniel
JF-Expert Member
- Feb 25, 2014
- 1,594
- 2,180
Roho ya ugomvi ni mbaya sana, hairidhiki. Hivi Mali za TANU kupewa CCM ni makosa? Mali za Tanganyika kupewa Tanzania ni nongwa, yaani Mali za Zein kupewa Tigo ni dhambi, ni uhujumu?
Haya wakakague za HH The AgakhanHao wote ni Bakwata Hata kama hawapendezwi
Baraza Kuu La Waislamu Tanzania
WatakaguaHaya wakakague za HH The Agakhan
bakwata kazi yake kuuza viwanja majumba ya waqfKatibu mkuu wa Bakwata Alhaj Mruma amesema Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar ameagiza ufanyike Uchunguzi kubaini mali zote za Bakwata, zilipo na uhalali wa umiliki wake
Alhaj Mruma amesema Bakwata ina mali nyingi sana zikiwemo zinazomilikiwa na Watu binafsi Kinyume cha Sheria
Baada ya uchunguzi itaandaliwa orodha ya mali zote za Waislamu
Chanzo: ITV habari
hiyo mali ya serikali idio iayo chukua pesa kutoka kwa wataliiHivi hata ile Misikiti 99 ya Kilwa ni mali ya Bakwata? Samahani kwa hili swali Mufti
Zein na tigo wapi na wapiRoho ya ugomvi ni mbaya sana, hairidhiki. Hivi Mali za TANU kupewa CCM ni makosa? Mali za Tanganyika kupewa Tanzania ni nongwa, yaani Mali za Zein kupewa Tigo ni dhambi, ni uhujumu?
Hii EAMWS pamoja na nia njema waliyokuwa nayo waanzilishi wake, yapo makosa waliyoyafanya ambayo hata bila kuingiliwa na serikali wangekuja kusambaratishana wenyewe.
Gagnija,Hii EAMWS pamoja na nia njema waliyokuwa nayo waanzilishi wake, yapo makosa waliyoyafanya ambayo hata bila kuingiliwa na serikali wangekuja kusambaratishana wenyewe.
Huwezi kuwaweka waislam wa shia, sunni, khoja... chini ya chombo kimoja ukataraji watadumu chini ya chombo hicho kwa utulivu miaka yote.
Ni 'kitengo' kilichoanzishwa na huyo wa kwenye avatar yako ili kudhibiti waislam,si unaona hapo kavunja taasisi ya maana ya waislam (eamws) kaanzisha taasisi Koko kufubaza maendeleo ya waislam,uchaguzi wa mufti bakwata watu wa makumbusho huwa mpela mpela kuhakikisha anaingia mtu anayeaminika
Gagnija,
EAMWS ilikuwapo toka 1945 bila ya matatizo.
Hapakuwa na suala la madhebu.
Tatizo lilijitokeza pale EAMWS ilipokuwa sasa inajenga Chuo Kikuu Cha Waislam.
Kuna watu hili liliwatia hofu wakaamua lazima EAMWS ipigwe marufuku.
Dr. Bashiru yupo Idle sana apewe hii kazi huyu ni ndugu yetu katika imani na ana uzoefu kwenye ukaguzi wa mali za ccmKatibu mkuu wa Bakwata Alhaj Mruma amesema Mufti wa Tanzania Shehe Abubakar ameagiza ufanyike Uchunguzi kubaini mali zote za Bakwata, zilipo na uhalali wa umiliki wake
Alhaj Mruma amesema Bakwata ina mali nyingi sana zikiwemo zinazomilikiwa na Watu binafsi Kinyume cha Sheria
Baada ya uchunguzi itaandaliwa orodha ya mali zote za Waislamu
Chanzo: ITV habari
Sasa hapo wewe umeona serikali haihusiki kwenye kuvunja eamws!?..Kama inahusika ilikua serikali ya nani!?...unadhani utakatifu anataka kupewa Bure!!?..kalitumikia kwelikweli kanisaAcha kumhusisa JKN na upuuzi wa waganga njaa.
Kutoka moyoni mwako ndugu yangu Mohamed Said.Ungependa serikali iwafanyie nini Waislam?Gagnija,
EAMWS ilikuwapo toka 1945 bila ya matatizo.
Hapakuwa na suala la madhebu.
Tatizo lilijitokeza pale EAMWS ilipokuwa sasa inajenga Chuo Kikuu Cha Waislam.
Kuna watu hili liliwatia hofu wakaamua lazima EAMWS ipigwe marufuku.
Mbona dini.zote Tanzania zina mabaraza ,nini mbaya?Kutoka moyoni mwako ndugu yangu Mohamed Said.Ungependa serikali iwafanyie nini Waislam?
Iwape pesa thamani sawa na zile ambazo kanisa limekuwa likipewa tangu uhuru Hadi leoKutoka moyoni mwako ndugu yangu Mohamed Said.Ungependa serikali iwafanyie nini Waislam?
Nant...Kutoka moyoni mwako ndugu yangu Mohamed Said.Ungependa serikali iwafanyie nini Waislam?
Anglican wamepewa shule waliyojenga Kikuyu, leo ni chuo chao kikuu cha Mt John.Nant...
Kwa nini unaniuliza swali hili?
EAMWS agha Khan ndani,alikua muweka hazina sijui, waislam wote walikua kitu kimoja, Julius akaona akiwaacha kanisa halitafika kanaaniAnglican wamepewa shule waliyojenga Kikuyu, leo ni chuo chao kikuu cha Mt John.
Kwanini nanyi msidai shule yenu mliyojenga Dodoma na madai mengine mliyonayo? Japo sina hakika ombi lenu likiridhiwa atakabidhiwa nani.
Taarifa nilizonazo shule ya Dodoma uliyoiweka kwenye picha ilijengwa na Agha Khan.
Hahaha, hebu taja shule zenu hata 5 nchi hii na uwe na uhakika nazoHiyo shule iliyojengwa na waislam Dodoma ipo hadi leo. Kama Anglican walipewa iliyokuwa Kikuyu ambayo leo ndiyo St John university, basi na waislam wapewe shule yao.