kati ya vitu nimetumia muda mwingi kuvisoma ni muda wenyewe, hapa nimeanzia zama za mawe hadi digital age, mifumo yote ya kalenda nimepitia mpaka zile siku 11 zilizopotea zilizoleta kizaazaaa, mifumo yote ya saa na technologies zote za saa mpaka cesium-133 atom na atomic clock,
International Meridian Conference in Washington na zero longitude kupita Greenwich bila time haya yote yasinge kuwepo, kitendo cha ku link time na positioning systems hapa ndo nikaanza kuamini time and space are two side of the coin na huwezi kivitofautisha, hapa ndo hayo mambo ya kupoteza muda, hakunipa muda, yote ni kuchanganya space na time ambayo ni kitu kimoja space-time
sikuishia hapo, nikaenda traditional astronomy mpaka precisely observation maana bila muda kosingetokea kitu, Kepler's planetary motions mpaka principia mathematica, nikaachana na classical physics mpaka quantum physics, relativity and time travel, hakuna kitu kimenipotezea muda kama theoretical physics hapa nili base kwenye haya mambo ya muda.
Hili suala la muda ni mada ndefu sana na ni very interesting, sekunde moja ni kubwa sana ukitaka kujua ukubwa wa sekunde fanya software development halafu function zako ziwe zina excute for 2 seconds wakati inatakiwa less than 20ms
Watu wengi hawajui hata kwanini siku ina masaa 24 wakati tunaweza tukaamua tu siku nzima iwe ni saa moja? hawajui kwanini masaa 24 ndo optimum choice. wazee kwenye muda hapa kuna madesa mengi kuliko vitu vyote ulivyosoma shule.
Mimi nikiwa na muda basi nadili na huohuo muda maana kunamambo mengi bado nataka kuyajua kuhusu muda