ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 16,992
- 40,140
- Thread starter
- #101
🔥🔥😅😅😅 899 no ya zima moto
🔥🔥😅😅😅 899 no ya zima moto
Hahahaha🔥🔥😅😅😅 899 no ya zima moto
Acha basi 😅😅Hiyo ni assignment yako.
Basi naamini jana ndo umelala mapemaWakati unatuma hii nilikua nimelala😅
Kwanini😅😅Basi naamini jana ndo umelala mapema
Nilinunua kila nilichotaka kwa mda ule😅 ila haikunitosha nikimtaka na huyo anaetoa helaHiyo pesa ulokuwa unapewa ulinunua nini mtu wetu. Mtakufa na mapenzi nyie
Nilinunua kila nilichotaka kwa mda ule
Hua unachelewa kulala sana,vipi JF diary yako ulisha imaliza?Kwanini😅😅
Natamani kukujibu ila acha ibaki kua privacy yanguJe hukuwahi tena kupata mda wake hadi leo hii?
Mkuu ulisha pata wakumpenda, Kuna zali limejitokeza hapa 😎That's really you. I like it a lot
Wewe hukuelewa maana ya diary sio kwamba nitaleta mambo yangu binafs humu ila nimetengeza ile ili niweke nyuzi zangu zote kwenye uzi mmoja ndio maana nikaita JF DiaryHua unachelewa kulala sana,vipi JF diary yako ulisha imaliza?
hahaha , that's tough on you bro, love is love even if it is one sided, sometimes you have to love even if they don't love you back , we call creative.Shida sio wa kumpenda ni wa kunipokea mimi mkuu, zali lipi..?
Got yaWewe hukuelewa maana ya diary sio kwamba nitaleta mambo yangu binafs humu ila nimetengeza ile ili niweke nyuzi zangu zote kwenye uzi mmoja ndio maana nikaita JF Diary
Mara nyingi napenda kusoma nyuzi zangu mwenyewe so napata taabu kuanza kupekua moja moja lakini zikiwa sehemu moja inakua rahisi kwangu
Hope umeelewa
Nachelewa kulala kwa sababu usiku hua napata utulivu wa kufikiri kuamua kuchambua mambo kujiongelesha kujikosoa kujishauri kujisifia kujitafakari kuliko mchana ulio na kelele nyingi
Wewe unaweza kufanya hivyo?hahaha , that's tough on you bro, love is love even if it is one sided, sometimes you have to love even if they don't love you back , we call creative.
Kobazi kila kitu mnalaumu beberu, kwanini lakini 🤔Muda ni njia ya mabeberu kuwaondolea watu furaha.
Kwa kuwa tuna muda, maana yake tuna vipimo vya nyakati za kila kitu mpaka na uhai wetu maana yake kila kitu lazima kiende kwa muda. Lazima ufanye vitu fulani kwa nyakati fulani au upambane ili vitu hivyo vitokee kabla ya nyakati hizo.
Maisha ya mwanadamu baada ya kupimwa kwa muda yamekua ya taabu sana. mahangaiko na hofu. Binadamu aliyeishi bila kujali muda, alikua ni mwenye furaha sana, asiye na hofu wala malengo mahususi yapimwayo na muda.
Ukiondoa dhana ya muda, raia wangekua na maisha bora sana
Hii inajumuisha na ukweli kwamba, peponi au mbinguni ni timeless au eternal. Watu wa huko wanafuraha zaidi kwakuwa hawakimbizani na muda.
Tuko mwaka 1448
Leo ndiyo mwaka wetu mpya
We give up too soon, thinking they don't love us, when they may simply need more time to love us back ❤️Sasa mkuu si nitakua nalazimisha mawasiliano na mapenzi kwa hali hiyo..??
Yes I can, ukihitaji kupendwa mpe mda yule unaehitaji akupende, kila hatua inahitaji mchakato.Wewe unaweza kufanya hivyo?.
We give up too soon, thinking they don't love us, when they may simply need more time to love us back ❤️
Trust me, bro People who match your vibe do exist don't let your own mind convince you otherwise they're out there you just haven't met them yet keep believing in yourself.Maybe I'm not built for that. The entire notion of loving