Kabisa they ignored it thenTusubiri Baraza litatupa picha,Ila mleta Uzi hasipuuzwe hata ugonjwa was Magufuli Hadi kifo watu walikuwa wanapuuza tetesi za mamma hii.
Na yako wewe mpumbavu zaidi ikiwemoWatz walivyo wapumbavu utakuta huu uzi umejaa coments zaidi ya 500
KasepaaMasalia yanaangaika sana hayaamini kama mungu wao kafa yanatamani lizuke balaa nchi iyumbe,ni kama wachawi fulani.
Kwa kuwa watanzania wanapenda taarfa za uongo na uzushi hata hii wataishadadia sana
KukbeKwa kuwa watanzania wanapenda taarfa za uongo na uzushi hata hii wataishadadia sana
Sema...mtamkoma February safari hiiNiseme
rudi twambie kama ni uongo tenaKwa kuwa watanzania wanapenda taarfa za uongo na uzushi hata hii wataishadadia sana
SanaNahisi lile kundi la mwendazake bado lina nguvu isiyoonekana serikalini, hasa nikiangalia kelele za Gwajima kuhusu Corona na vile hapajakuwepo mkakati maalum wa kumfunga mdomo.
Lakini pia, nikiangalia upande wa pili wa Msoga naona kama wapo dormant ila wanafukuta kwa chini, mabadiliko yajayo ya baraza la mawaziri kama yatakuwepo naona yatatoa picha nzuri tujue nini kiko kichwani kwa mama.