brazoo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2014
- 707
- 508
Baada ya kupotea hewani kwa siku kadhaa naona Startv wamerudi hewani.
Je wameweza kulipa deni walilokua wanadaiwa na TRA au wamenegotiate na kufikia muafaka?
All in all heko kwa Diallo kwa kupambana na kufanikiwa kurudisha chombo chake cha habari maana kuna watu walidhani itapigwa mnada.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je wameweza kulipa deni walilokua wanadaiwa na TRA au wamenegotiate na kufikia muafaka?
All in all heko kwa Diallo kwa kupambana na kufanikiwa kurudisha chombo chake cha habari maana kuna watu walidhani itapigwa mnada.
Sent using Jamii Forums mobile app
tv, Radio free Africa na KISS FM RADIO) Usiku huu vimerudi angani mubashahara!! 