Chacha wa marwa
Senior Member
- Jul 5, 2013
- 116
- 20
matokeo tafadhali.
mtwara mjini
Urais
CDM 4358
CCM 2790
zilizoharibika 38.
Ubunge
CUF 3768
CCM 2654
If we fail this time, its over for us.....we shall become slaves
Sure mkuu.
Manispaaa ya Mtwara
Katika kituoa cha magomeni shuleni mambo yameanza hali ya amani ni shwali kabisa watu wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanatimiza haki yao ya msingi wanayoipata mara moja ndani ya miaka 5
Yaani mikoa masikini imetuangusha sana... mi naombea hii nchi iendelee kuwa ya mwisho duniani....
Naomba tu kama ikitokea kura yangu imeshindwa basi tena tubakie hivi hivi.
Omba omba, elimu duni
Afya duni...
Nina hasira sana
Hali ilivyo ni ngumu sana.Na hii mbinu ya NEC CCM( Tume ya Uchaguzi) kuchekewa kutangaza matokeo kusudi ,ili wachakachue watangaze matokeo wakati wavuja jasho hawapo vituoni.
mtwara mjini
Urais
CDM 4358
CCM 2790
zilizoharibika 38.
Ubunge
CUF 3768
CCM 2654
If we fail this time, its over for us.....we shall become slaves