Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

kuna harufu ya udaku ...........................................................
onyesheni uhaini na uadui wenu kwa nchi.. mende mmetegwa naona mshajiingiza kichwakichwa
 
Najiuliza maswali makuu mawili na sipati JIBU

1. kwanini serikali ina arakisha huumradi kabla yakutatua matatizo yaliyopo ?
2. kwanini huu mtambo wa umeme usijengwe mtwara umeme ukasafirishwa kuja Dar? mbona uliweza kutoka kidatu ukaja dar hapo mtwara tumeshidnwa nini ?
 
kuvunja vioo tu siyo sabotage ya nguvu , wamuazime mwigulu mabomu wayalipue kabisa hayo madude mpaka watakaposikilizwa na kukubaliana.
 
halafu kwa nini siku hizi wanaume wambea wanaongezeka kila kukicha wakuu huyu mkuu kaleta post inaelea kama mtandio hata kichwa na miguu haina.
 
Najiuliza maswali makuu mawili na sipati JIBU

1. kwanini serikali ina arakisha huumradi kabla yakutatua matatizo yaliyopo ?
2. kwanini huu mtambo wa umeme usijengwe mtwara umeme ukasafirishwa kuja Dar? mbona uliweza kutoka kidatu ukaja dar hapo mtwara tumeshidnwa nini ?

unafikiri kwa kutumia nini hayo matatizo unayosema hajatatuliwa ni yapi,

kwa nini ukiwa bavicha akiri inakuwa haifanyi kazi vizuri,
 
Suala la Mtwara linahitaji kutumia busara tu na wala siyo ubabe.
Naona kama vile Serikali ilishapiga hatua nyingi sana mbele kimaamuzi na inakuwa vigumu sana kurudi nyuma, kuwaalika na kukaa na kukubaliana na wana Mtwara.

Wakati serikali inawaza tu kufanikisha mambo yake inasahau kuwa wananchi kwa miaka wamekuwa wakijifunza kwa kupima athari na manufaa yapatikanayo kwenye raslimali na maliasili zao. Mifano ipo mingi sana ambayo kwayo wananchi wamejifunza kama vile migodi ya madini, gesi ya Songosongo, mgogoro wa Loliondo na wawekezaji wa OBS.

Ajabu ni kuwa wananchi wanajifunza kwa haraka kuliko Watawala, lakini Watawala hawaonekani kuijifunza lolote.
 
sijaona ukweli wa hii tarifa hata kidogo pengine anaushahidi zaidi lakini kama ndiyo huu hakuna ukweli wowote.
 
Naona kama vile Serikali ilishapiga hatua nyingi sana mbele kimaamuzi na inakuwa vigumu sana kurudi nyuma, kuwaalika na kukaa na kukubaliana na wana Mtwara.

Wakati serikali inawaza tu kufanikisha mambo yake inasahau kuwa wananchi kwa miaka wamekuwa wakijifunza kwa kupima athari na manufaa yapatikanayo kwenye raslimali na maliasili zao. Mifano ipo mingi sana ambayo kwayo wananchi wamejifunza kama vile migodi ya madini, gesi ya Songosongo, mgogoro wa Loliondo na wawekezaji wa OBS.

Ajabu ni kuwa wananchi wanajifunza kwa haraka kuliko Watawala, lakini Watawala hawaonekani kuijifunza lolote.

siasa zenu za kuchonganisha watu wa mtwara na serikali yamekwama sasa mnahangaika kama mnataka kutaga kutwa kutunga uongo.
 
hawa hawakuwepo?
998861_490081497742516_1206258209_n.jpg

Wajasilia mali wa Mwigulu Nchemba!!
 
Mbona ilikuwa raisi sana kuseam Kagame azungumze na M23 mbona yeye kashindwa kuzungumza na wanamtwara?
 
sijaona ukweli wa hii tarifa hata kidogo pengine anaushahidi zaidi lakini kama ndiyo huu hakuna ukweli wowote.

hakuna vurugu zozote kuna gari ya mabomba imepasuliwa kioo ila si katika mazingira haya na mtuhumiwa nadhani amekamatwa pia. mtoa mada angetafuta ukweli then apost kitu chenye uhakika.
 
Kwa akili za kitaahira za THE BIG SHOW kweli anaweza kutoboa hilo bomba. Amini nakuambia, wakitoboa mara moja hawatapata hamu ya kutoboa tena. Hii gesi mnayogombania hamuijui hata kidogo...nyie toboeni huko kwenu tuongeze idadi ya albino wa ukubwani


Madam Mtoka Pabaya inaonekana Big Show anakuchanganya sana akili yako,kutwa huachi kumuwaza na kumtaja taja,
Unfortunately i have a wife,i can advice you to look for a proper Husband,here is your free advice Madam,GET A MAN,GET A LIFE...
 
Najiuliza maswali makuu mawili na sipati JIBU

1. kwanini serikali ina arakisha huumradi kabla yakutatua matatizo yaliyopo ?
2. kwanini huu mtambo wa umeme usijengwe mtwara umeme ukasafirishwa kuja Dar? mbona uliweza kutoka kidatu ukaja dar hapo mtwara tumeshidnwa nini ?

Serikali inaona watanzania ni wajinga bado hawajajitambua mbaya zaidi wanachukulia poa kila kitu vitu serious wanaona vyepesi
 
Huwezi kushindana na serikali,,,,,,serikali itawaficha watu mpaka washangae,,,mtwara ni bora mkakubaliana na matakwa ya serikali,,,,hii ndio serikali
 
Back
Top Bottom