Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
Mkuu ungeweka hata kapicha
hajipendi..
Mkuu ungeweka hata kapicha
teh jana niliona magar yanatoka bandar to mtwara...teh kumbe wanamtwara walikua wanayasubiria ..hahah wangechoma na mabomba yenyew pia..wamekosea kuharibu gari tu aisee
wakuu hii salute ya katikati ya paji la uso ni MPYA, hii inatumika wapi duniani? ni kosovo ama? aisee nimeupenda huu ubunifu wa Green Guards aka wajasilia.
Likijengwa watakua wanalitoboa kama yale ya mafuta nigeria
duh mi nilifikiri ni moja ya mbinu za ujasiliamali ndiyo maana ikanivutia.Sisi kizazi cha Nyerere tuliocheza halaiki na chipukizi ni salute ya kawaida ,vijana wa Mkapa ndo inakua tabu kuelewa hizo salute
Gari la kubeba mabomba limeshambuliwa huko Mtwara na liko katika kituo kikuu cha Polisi. Vioo vya mbele vimevunjwa/pasuliwa
Hii ni hatari na ishara mbaya kwa taifa cha msingi ni kukaa na wananchi kujadili na kufikia muafaka kwa faida ya miaka ijayo kutumia nguvu katika hili jambo nii giza huko mbele.
Mungu shusha hekima kwa wababe wa mamlaka .
wakuu hii salute ya katikati ya paji la uso ni MPYA, hii inatumika wapi duniani? ni kosovo ama? aisee nimeupenda huu ubunifu wa Green Guards aka wajasilia.
kwakweli huu ni upumbavu na wala c ujinga tena sasa serikali Right itafanikiwa kuyatandaza mabomba hayo kwa mabavu je watayalinda maili zote kutoka mktwara mpaka dar? kama hawawezi wanauhakika gani wakuwatushawishi sisi wana mtwara tusijikusanya usiku na kwenda kuchimbua na kuyatoboa?
kwakweli wazo la -------- ni fipi sana ok wayaweke tuone kitakacho tokea ugali wetu unaomwagwa sasa utalipwa kwa mboga wanazoandaa wao
mungu ibariki TZ mungu ibariki mtwara. AMEN
aniGari la kubeba mabomba limeshambuliwa huko Mtwara na liko katika kituo kikuu cha Polisi. Vioo vya mbele vimevunjwa/pasuliwa
Hii ni hatari na ishara mbaya kwa taifa cha msingi ni kukaa na wananchi kujadili na kufikia muafaka kwa faida ya miaka ijayo kutumia nguvu katika hili jambo nii giza huko mbele.
Mungu shusha hekima kwa wababe wa mamlaka .
People rather than armies are known to have won great wars. Think of how many soldiers would be needed to protect the pipe from Mtwara to Pwani. I belive the numbers are not there.mkuu, askari wataongezwa hasa wale walioko drc na dafur wakirejea hivyo kudhibiti hii hali.