Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

Mtwara: Gari la kubeba mabomba lashambuliwa

nilikuuliza wewe kwenu ni wapi?
ni kawaida sana ya maskini kama wewe kujiona mna kila kitu..
Uchache wa wanafunzi mashuleni ni matokeo ya kunyimwa shule tokea hapo mwanzo.

Ulianza kwa kusema shule hazipo, sasa imekuwa kwamba walinyimwa tangu mwanzo...walinyimwa na nani? Well then, walinyimwa sasa zipo na bado hawaendi, wewe unaona tufanyaje? Uko radhi mpelekwe shule kwa nguvu?

Sikiliza nikwambie, hizi unazoleta hapa ndio ngonjera na ndio maana nakwambia madai yenyewe ni ya kipuuzi. Mimi ningefurahi ungekuwa unajibu hoja yenye msingi. Umekataa kujibu swali umeleta manung'uniko. Bado nina swali kuhusu hayo hayo manung'uniko yako, naamini swali langu litakufanya usibishe tena kuwa wewe ni mjinga:

SWALI 1: Mtambo wa umeme ukijengwa Mtwara itasaidia watoto kwenda shuleni ikiwa wazazi ni nyie nyie na tabia zenu ni zile zile?

Swali 2: Hiyo michuma ya kuzalishia umeme ikijengwa Mtwara na baadaye umeme usafirishwe kwenda Dar, wewe ulioko Mtwara unafaidika nini?

Swali 3: Ikiwa mitambo kuwapo kwenye ardhi ya mkoa wako ni faida, unaweza kuniorodheshea faida 2 tu wanazozipata watu wa Hale kwa uwepo wa Hale Hydro-Power Station pale Hale?

Acha kuwa kama mwanamke wa kiswahili, twende kwenye hoja
 
nashauri suluhu kutafutwa kwa nguvu si busara na haitasaidia hata kidogo, serikali kaeni na wananchi na kutafuta suluhu ya kudumu wananchi hawa wanahitaji elimu kutoka kwa kiongozi wa juu maana kauli ya kiongozi wa juu ni sheria na agizo la kitaifa. kwa vitisho itakuwa kama israeli na palestina jamani. nimemaliza sitoacha kusstiza hii njia daima
 
Ulianza kwa kusema shule hazipo, sasa imekuwa kwamba walinyimwa tangu mwanzo...walinyimwa na nani? Well then, walinyimwa sasa zipo na bado hawaendi, wewe unaona tufanyaje? Uko radhi mpelekwe shule kwa nguvu?

Sikiliza nikwambie, hizi unazoleta hapa ndio ngonjera na ndio maana nakwambia madai yenyewe ni ya kipuuzi. Mimi ningefurahi ungekuwa unajibu hoja yenye msingi. Umekataa kujibu swali umeleta manung'uniko. Bado nina swali kuhusu hayo hayo manung'uniko yako, naamini swali langu litakufanya usibishe tena kuwa wewe ni mjinga:

SWALI 1: Mtambo wa umeme ukijengwa Mtwara itasaidia watoto kwenda shuleni ikiwa wazazi ni nyie nyie na tabia zenu ni zile zile?

Swali 2: Hiyo michuma ya kuzalishia umeme ikijengwa Mtwara na baadaye umeme usafirishwe kwenda Dar, wewe ulioko Mtwara unafaidika nini?

Swali 3: Ikiwa mitambo kuwapo kwenye ardhi ya mkoa wako ni faida, unaweza kuniorodheshea faida 2 tu wanazozipata watu wa Hale kwa uwepo wa Hale Hydro-Power Station pale Hale?

Acha kuwa kama mwanamke wa kiswahili, twende kwenye hoja

sitajibu hoja yako..wewe ni punguani!!!

naamini maendeleo yetu wanamtwara yataletwa na sisi wenyewe wanamtwara
Na usione kila mtu anayetoka mtwara hajaenda shule..
Nakuona kapuku tu..

Sasa anza kujijibu maswali uliojiuliza..
 
Ulianza kwa kusema shule hazipo, sasa imekuwa kwamba walinyimwa tangu mwanzo...walinyimwa na nani? Well then, walinyimwa sasa zipo na bado hawaendi, wewe unaona tufanyaje? Uko radhi mpelekwe shule kwa nguvu?

Sikiliza nikwambie, hizi unazoleta hapa ndio ngonjera na ndio maana nakwambia madai yenyewe ni ya kipuuzi. Mimi ningefurahi ungekuwa unajibu hoja yenye msingi. Umekataa kujibu swali umeleta manung'uniko. Bado nina swali kuhusu hayo hayo manung'uniko yako, naamini swali langu litakufanya usibishe tena kuwa wewe ni mjinga:

SWALI 1: Mtambo wa umeme ukijengwa Mtwara itasaidia watoto kwenda shuleni ikiwa wazazi ni nyie nyie na tabia zenu ni zile zile?

Swali 2: Hiyo michuma ya kuzalishia umeme ikijengwa Mtwara na baadaye umeme usafirishwe kwenda Dar, wewe ulioko Mtwara unafaidika nini?

Swali 3: Ikiwa mitambo kuwapo kwenye ardhi ya mkoa wako ni faida, unaweza kuniorodheshea faida 2 tu wanazozipata watu wa Hale kwa uwepo wa Hale Hydro-Power Station pale Hale?

Acha kuwa kama mwanamke wa kiswahili, twende kwenye hoja


Mimi huwa nawataka sana watu mnaojifanya mnajua sana kuongea mithili yako wewe,
Kwanza jambo ambalo unatakiwa kulifaham na la msingi kabisa,hilo suala la Kujengwa kwa kiwanda cha kuzalisha umeme huku ndio haswa lilikawa kwenye sera na mpango mkuu wa serikali tokea mwanzo wa utafutaji wa rasilimali hii,serikali ilipoamua kuja kuubadilisha mpango huo na kuleta mpango wa bomba la gesi wamekuja juu juu bila taarifa na bila kuwashirikisha wananchi ambao hapo mwanzon hawakuwaambia plan hiyo,wewe ukitaka wananchi wasihoji??

Pili hiyo mikataba ya ujenz wa bomba la gesi imekuwa ya siri hadi bungeni na kwa wabunge ambao wangekuwa ni washauri wa serikali juu ya namna ya kuiendea mikataba hiyo kwa maslahi ya taifa,unataka wananchi wasihoji kuhusu suala hilo??

Sheria ya mambo ya gesi serikali yako haina na badala yake inatumia rasimu ya sera ya gesi huku tayari ikiwa ishaanza kuingia mikataba ya uchimbaji na uuzaji wa gesi hii,usimamiz wake utakuaje?uwajibikaji wake utakuaje?na bado unataka wananchi wasihoji na kutaka kujua uhalisia ulivyo??

Kulikuwa na plan ya MTWARA CORRIDOR na Plan ya kuingiza nishati ya umeme inayopatikana kwa ujenz wa kiwanda cha kufua gesi hiyo mtwara kwenye grid ya taifa kupitia songea,tunduru na kufika hadi kigoma huko,wewe unataka kusema kwamba kwa plan hiyo wana mtwara wasingenufaika nayo??

Suala si kusoma kwa wanakusini ama la,nchi hii ina wasomi wengi tuh,wameisaidia nin nchi hii zaid ya kuitia hasara ya mikataba mibovu na ufisadi tuh,vipi wewe unajiona msomi sana eeh??wa kuja hapa kuwakashifu wana mtwara na kuwaona wapumbavu na kwamba hawajasoma wewe una elimu gani ya manufaa kwa taifa hili??unatafuta umaarufu au unatafuta bwana humu jukwaani??

Sasa skia tukuambie bwana mdogo,hili suala ni zaid ya hivyo wewe unavyofikiria,watu wana hoja za msingi na hao mafisadi wanatambua sana,alipofika Obama umewaskia wakiweweseka kwamba plan ya kujenga hicho kiwanda cha kuzalisha megawati 600 mtwara ipo na kampuni ya simbion watapewa kazi hiyo,jiulize sasa wakitaka wafanye lini hayo??au hadi watu walipouana na kuandamana ndio wakaona kuna umuhim huo??
Na ishu hiyo haipo kwenye bajeti yao ya mwaka huu,ni kazi ambayo atafanya mwekezaji,jiulize hizo pesa huyo mwekezaji anatoa mfukoni mwake kwa masharti gani?na kwa muda gani??

Kuna vitu kama unajifanya unavielewa na unajua sana kuvichambua ni kama unajidhalilisha tuh -------- wewe,you must be so so craizy...!!!
 
sitajibu hoja yako..wewe ni punguani!!!

naamini maendeleo yetu wanamtwara yataletwa na sisi wenyewe wanamtwara
Na usione kila mtu anayetoka mtwara hajaenda shule..
Nakuona kapuku tu..

Sasa anza kujijibu maswali uliojiuliza..

Achana nae Kanjanja huyo Mkuu..
Asikupotezee muda wako...
 
Pinda aliposema mpigwe, hakuwa amekosea kwa 100%, akili km zako hazina tiba zaidi ya kichapo kikali. Haya maswali ni ya kipuuuzi kweli kweli. Sidhani kama maswali haya hayajawahi kujibiwa ni vile tu ili uelewe ni lazima udhamirie kuelewa.

GESI SIO UMEME PEKE YAKE. Utakuwa ni ujinga usio na kipimo kuzalisha umeme Mtwara halafu uusafirishe hadi Dar baadaye wewe huyo huyo usafirishe gesi nyingine kwa ajili ya matumizi yaliyobaki. Wengi wenu mnaofikiri kwa kutumia viungo vya kukalia mnadhani kuna tija Power Plant kwenye mji wako.

Umeme unaozalishwa Kidatu unazalishwa kwa maji na hatuna mahitaji ya maji toka Kidatu na ukumbuke maji yanazalisha umeme kwenye maporomoko kwa hiyo huwezi kuyasafirisha na kuuzalishia umeme sehemu nyingine ambapo hakuna maporomoko.

Labda nikuulize swali wewe na wengine wenye akili kama zako: Kwa mitambo ile ya umeme kuwepo pale Kidatu, ni nini wananchi wa Kidatu wanafaidika?

Tutumie akili zaidi ya ushabiki na upuuzi.


Tokea mda mrefu nimekuwa nakuangalia sana unavopenda kuja kuja anga zaku,tena sometimes kwa lugha zako za matusi na kihun huni,sisi hiyo sio hulka yetu,ila kama unataka twende hivyo fresh tutaenda sawa na tutaelewana,

Ni kweli gesi sio tuh kuhusu umeme tunakubali,mikataba ya uvunaji iko wapi??kwanin waamue iwe ni siri hata kwa bunge na wabunge??hata shirika la TPDC mikataba hiyo hawaijui uhalisia wake,ukitaka watu wasihoji??kamati ya bunge inazunguka kuchukua maoni ya wananchi mbali mbali na imeanzia DSM na itafika kuzungumza na wananchi hadi huku,unahis hao ni wajinga??

Tena kuna bandiko lako huku nyuma ulishawahi kusema eti unataka gesi hii uitumie hadi kwenye nyumba yako kwa kupikia,yani bomba litandazwe hadi kufikia nyumbani kwako,mtu mpuuzi na mjinga usie na maono ya mbali wewe,kama wameshindwa kukuwekea bomba la maji kwa kukosa mpangilio mzuri wa mji wataweza kukuletea plan ya gesi nyumbani kwako??hizo akili unazotumia au matope??

Au unawaza kwa kutumia viungo vingine,stupid sana wewe...
 
Hilo walilolifanya la kuvunja vioo halitoshi. Walipaswa kwenda mbali zaidi....!
 
Mimi huwa nawataka sana watu mnaojifanya mnajua sana kuongea mithili yako wewe,
Kwanza jambo ambalo unatakiwa kulifaham na la msingi kabisa,hilo suala la Kujengwa kwa kiwanda cha kuzalisha umeme huku ndio haswa lilikawa kwenye sera na mpango mkuu wa serikali tokea mwanzo wa utafutaji wa rasilimali hii,serikali ilipoamua kuja kuubadilisha mpango huo na kuleta mpango wa bomba la gesi wamekuja juu juu bila taarifa na bila kuwashirikisha wananchi ambao hapo mwanzon hawakuwaambia plan hiyo,wewe ukitaka wananchi wasihoji??

Pili hiyo mikataba ya ujenz wa bomba la gesi imekuwa ya siri hadi bungeni na kwa wabunge ambao wangekuwa ni washauri wa serikali juu ya namna ya kuiendea mikataba hiyo kwa maslahi ya taifa,unataka wananchi wasihoji kuhusu suala hilo??

Sheria ya mambo ya gesi serikali yako haina na badala yake inatumia rasimu ya sera ya gesi huku tayari ikiwa ishaanza kuingia mikataba ya uchimbaji na uuzaji wa gesi hii,usimamiz wake utakuaje?uwajibikaji wake utakuaje?na bado unataka wananchi wasihoji na kutaka kujua uhalisia ulivyo??

Kulikuwa na plan ya MTWARA CORRIDOR na Plan ya kuingiza nishati ya umeme inayopatikana kwa ujenz wa kiwanda cha kufua gesi hiyo mtwara kwenye grid ya taifa kupitia songea,tunduru na kufika hadi kigoma huko,wewe unataka kusema kwamba kwa plan hiyo wana mtwara wasingenufaika nayo??

Suala si kusoma kwa wanakusini ama la,nchi hii ina wasomi wengi tuh,wameisaidia nin nchi hii zaid ya kuitia hasara ya mikataba mibovu na ufisadi tuh,vipi wewe unajiona msomi sana eeh??wa kuja hapa kuwakashifu wana mtwara na kuwaona wapumbavu na kwamba hawajasoma wewe una elimu gani ya manufaa kwa taifa hili??unatafuta umaarufu au unatafuta bwana humu jukwaani??

Sasa skia tukuambie bwana mdogo,hili suala ni zaid ya hivyo wewe unavyofikiria,watu wana hoja za msingi na hao mafisadi wanatambua sana,alipofika Obama umewaskia wakiweweseka kwamba plan ya kujenga hicho kiwanda cha kuzalisha megawati 600 mtwara ipo na kampuni ya simbion watapewa kazi hiyo,jiulize sasa wakitaka wafanye lini hayo??au hadi watu walipouana na kuandamana ndio wakaona kuna umuhim huo??
Na ishu hiyo haipo kwenye bajeti yao ya mwaka huu,ni kazi ambayo atafanya mwekezaji,jiulize hizo pesa huyo mwekezaji anatoa mfukoni mwake kwa masharti gani?na kwa muda gani??

Kuna vitu kama unajifanya unavielewa na unajua sana kuvichambua ni kama unajidhalilisha tuh -------- wewe,you must be so so craizy...!!!

Mkuu huyo jamaa hajaanza leo kuleta hizi hoja zake,

Nashukuru sana mkuu THE BIG SHOW kwa kuchukua jukumu la kumuelimisha..
 
Last edited by a moderator:
Hiyo picha imenichekesha sana. Kumbe kuna majeshi mengi TZ. Dah ngoja namimi nianzishe home guard. Maana kikisanuka hapa. Wale wa pale kwa mfojo nao tuanzishe la kwetu kulinda ile mishikaki. A joke
 
Tokea mda mrefu nimekuwa nakuangalia sana unavopenda kuja kuja anga zaku,tena sometimes kwa lugha zako za matusi na kihun huni,sisi hiyo sio hulka yetu,ila kama unataka twende hivyo fresh tutaenda sawa na tutaelewana,

Ni kweli gesi sio tuh kuhusu umeme tunakubali,mikataba ya uvunaji iko wapi??kwanin waamue iwe ni siri hata kwa bunge na wabunge??hata shirika la TPDC mikataba hiyo hawaijui uhalisia wake,ukitaka watu wasihoji??kamati ya bunge inazunguka kuchukua maoni ya wananchi mbali mbali na imeanzia DSM na itafika kuzungumza na wananchi hadi huku,unahis hao ni wajinga??

Tena kuna bandiko lako huku nyuma ulishawahi kusema eti unataka gesi hii uitumie hadi kwenye nyumba yako kwa kupikia,yani bomba litandazwe hadi kufikia nyumbani kwako,mtu mpuuzi na mjinga usie na maono ya mbali wewe,kama wameshindwa kukuwekea bomba la maji kwa kukosa mpangilio mzuri wa mji wataweza kukuletea plan ya gesi nyumbani kwako??hizo akili unazotumia au matope??

Au unawaza kwa kutumia viungo vingine,stupid sana wewe...

THE BIG SHOW, wengine ni mashabiki wa upuuzi. Hujivika mashuka ya watawala na kushambulia watu wote wabnaikosoa serikali mahali popote penye maonezi.

Mikataba ni lazima iwe wazi.
 
Mkuu huyo jamaa hajaanza leo kuleta hizi hoja zake,

Nashukuru sana mkuu THE BIG SHOW kwa kuchukua jukumu la kumuelimisha..

Mimi simuelimishi,
Mimi namuambia uhalisia tuh,kama anajiona yeye ni mtu mwenye kauli mbovu sana haina shida,sisi pia hatuna simile na watu kama hao pia...
 
THE BIG SHOW, wengine ni mashabiki wa upuuzi. Hujivika mashuka ya watawala na kushambulia watu wote wabnaikosoa serikali mahali popote penye maonezi.

Mikataba ni lazima iwe wazi.


Ni Kweli,ila sasa kama yeye anadhani sisi tupo humu jukwaani kutumikia buk 7 kama anavyofanya yeye anajisumbua sana,

Sisi hatuna njaa kali na wala sio watumwa wa wanasiasa kama yeye Mpuuz Mpuuz asiejielewa...
 
sehemu iliyo na waislamu wengi,ustaarabu ni zero,ufikiri mdogo,shule ya kuwafanya wafunguke hawana.gesi ni ya watanzania wote.mbona mwanza wanatoa dhahabu kiasi kinachopatikana na nyie wana mtwara mnapewa mgao?muache ujinga vinginevyo mtakuja kuwa wajinga.


 
Ni kweli mradi utakuwa na manufaa ila umekaa kisiasa na unaharufu ya ufisadi 100%. Wanaoshinikiza wanajitahidi kufanya juu chini mradi uanze ili faida ianze kuonekana wakati huo wao wameshachukua chao.

Mbaya sana hii...

Tanzania wanaotumia umeme ni chini ya 20%, tena bado kukatika mara kwa mara ndio kawaida. Juzi tumemsikia mshikaji akisaini mkataba wa uzalishaji wa huo umeme na kujitapa watauza nje ya nchi. Kwa hali hiyo kuna kazi na faida kwa watanzania hapo?
 
sehemu iliyo na waislamu wengi,ustaarabu ni zero,ufikiri mdogo,shule ya kuwafanya wafunguke hawana.gesi ni ya watanzania wote.mbona mwanza wanatoa dhahabu kiasi kinachopatikana na nyie wana mtwara mnapewa mgao?muache ujinga vinginevyo mtakuja kuwa wajinga.




Mmewatukana sana wana mtwara,sasa mnaona haitoshi mnaanza kuwatuka waislam si ndiyo??
Unasema SEHEMU ZENYE WAISLAM WENGI USTAARABU NI ZERO UNA MAANA GANI??BILA SHAKA HATA NENO USTA-ARABU HATA MAANA YAKE HUIELEWI,JF SIKU HIZI IMEINGILIWA NA WATOTO WALIOFELI FORM FOUR KWA UZEMBE WA KUTOTAKA KUSOMA NA SERA MBOVU ZA ELIMU ZA CCM,MWISHO WAKE SOTE TUNAONEKAN WAJINGA NA WAPUUZI KAMA HAWA,
SIJUI UNA UMRI GANI WEWE,NANI ATAKUJA MJINGA BAINA YETU SISI NA KANJANJA KAMA WEWE??
 
Back
Top Bottom